Aliyeilewa katuni hii ya KIPANYA

Hiyo ni summary ya mbio za Seti na Ruge.
 
uibapo usile mwenyewe, tapanya/dondosha kidogo kidogoo watabaki wakiokota watasahau kukukimbiza na wewe utatokomea zako na fungu la kutosheleza

Jamaa alotoka magereza jana ..............
 
Hapo Ruge kaonekana ni mwamba ukilinganisha na yule Singasinga aliyeamua kutupa minofu ya nyama kwa 'mbwa mwitu wakali' ili tu kuokoa uhai wake.

Sasa ni wakati wake wa kula mafao. Hata MATAGA wakinuna, haisaidii chochote. Maana nchi sasa iko mikononi mwa wenyewe.

Soon na Jasusi Mbobezi naye atarejeshwa chamani! Ni suala tu la muda.
 
Nimeelewa kuwa wapiga dili wa enzi zile waligawa pesa na zilizunguka mtaani. Wapiga kura wa sasa wanapiga zote hawaachi kitu mtaani.
 
........NI HIVI
........TOA AJIRA KDG KUWAPUMBAZA.

.........USIWAFOKEE SANA, ILA WAPE TEUZI.

.........ova!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…