Aliyeimba nitarejea na Diamond sasa amekuwa teja wa gongo

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Alikuwa akihojiwa na kipindi cha shilawadu na kukiri sasa amekuwa teja wa gongo akiwa hapo studio na mama yake
Mama yake amesema anampa tabu kwa kuwa ameshindwa kulea mtoto wake na afya yake imedhoofu
Anaomba asaidiwe

 
Wekaaa pichaaa....!!?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Alikuwa akihojiwa na kipindi cha shilawadu na kukiri sasa amekuwa teja wa gongo akiwa hapo studio na mama yake
Mama yake amesema anampa tabu kwa kuwa ameshindwa kulea mtoto wake na afya yake imedhoofu
Anaomba asaidiwe

Mkuu uwo ndio unakuwaga mwisho wao mbona wako wengi tu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kweli maisha safari, ukikata tamaa na hakuna wa kukushika mkono mwisho wake ni kuangamia. Pole Hawa

iPhone S7
 
Vijana inabidi wajifunze kupitia hawa waafhirika kwani vijana wengi wanafuta mkumbo na kuona ulevi ni sifa

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
Alikuwa akihojiwa na kipindi cha shilawadu na kukiri sasa amekuwa teja wa gongo akiwa hapo studio na mama yake
Mama yake amesema anampa tabu kwa kuwa ameshindwa kulea mtoto wake na afya yake imedhoofu
Anaomba asaidiwe

Serikali inapopiga marufuku vileo kadhaa, ni kwa maslahi ya watu wake.
Huwa nasikitika ninapowaona au kuwasikia watu wakituhumu viongozi wanaopigana vita dhidi ya madawa ya kulevya na kuwaita majina yasofaa.
Hebu angalieni mathila yanayompata huyu mama na mtoto wake!
Jitafakarini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…