Aliyejaribu kuumua Trump alikuwa wa chama chake Republican ila alichangia chama cha Democratic

Aliyejaribu kuumua Trump alikuwa wa chama chake Republican ila alichangia chama cha Democratic

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Records show he was registered as a Republican voter in Pennsylvania,

but previously made a $15 donation to a Democratic aligned group,
Source
Meg Oliver CBS News,


Ila wa hapa wanadhani Lissu haweizekani kuwa alishambuliwa na wenzake
 
Records show he was registered as a Republican voter in Pennsylvania,

but previously made a $15 donation to a Democratic aligned group,
Source
Ila hajaitwa terrorist kwa sababu siyo muislamu ,huyo ni jew
 

Attachments

  • Screenshot_20240715-130228_Instagram.jpg
    Screenshot_20240715-130228_Instagram.jpg
    182.3 KB · Views: 2
alikuwa mjuzi wa hesabu mpka akapewa tuzo alivyomaliza high school.he also tried to join his school rifle club and was rejected because he had a bad aim, wazazi wake ni wanasaikolojia / wataalamu wa afya ya akili. perfect recruit for the CIA
 
Kijana mdogo sana, sijui atakuwa ameaminishwa kuwa kuna maisha mazuri mengine kuliko hapa duniani?
 
Ila hajaitwa terrorist kwa sababu siyo muislamu ,huyo ni jew
terrorists ni kikundi cha watu wenye itikadi fulani. bado hajagundulika kuwa na afiliation na kikundi chochote..huyo ni mass shooter tu (na hapa penyewe hajaqualify kwasababu hajaua/ kuumiza watu zaidi ya wa5).. usilete conspiracy theories hapa
 
Ila ukumbuke walimtorosha na wanamficha hadi sasa-Key witness- dreva wa Lissu, aliyekuwepo kwenye tukio wakati wa tukio
Hoja za kitoto hizo na tena za kipumbavu sana kazi ya Interpol ni nini?
 
terrorists ni kikundi cha watu wenye itikadi fulani. bado hajagundulika kuwa na afiliation na kikundi chochote..huyo ni mass shooter tu (na hapa penyewe hajaqualify kwasababu hajaua/ kuumiza watu zaidi ya wa5).. usilete conspiracy theories hapa
Terrorist ni mmoja, wakiwa wengi ni terrorists
Kitendo kinaitwa terrorism au kwa akili yako ugaidi lazima ufanywe na kikundi, hajafanikiwa kuua wamemuwahi ila lengo ilikuwa kufanya ugaidi kwahiyo anayetaka kufanya anaitwa gaidi, kwani wewe ukikamatwa na bunduki wakati unaenda kufanya tukio la ugaidi unadhani hautashitakiwa kwa ugaidi kwakuwa hujaua bado, embu muendage shule siyo kukariri
 
Kazi ya raia ni nini?
Wewe acha porojo fanya kazi maisha haya usiyachukulie poa kuna maisha baada ya siasa na siasa siyo uongo na uadui.Adui wa mwisho kwa wanadamu ni shetani ambaye ndiye mwasisi wa uongo.Kama uongo una faida basi endelea ila mimi siyo muumini wa uongo.
 
Back
Top Bottom