Aliyejaribu kuumua Trump alikuwa wa chama chake Republican ila alichangia chama cha Democratic

Aliyejaribu kuumua Trump alikuwa wa chama chake Republican ila alichangia chama cha Democratic

na pia only the dead have seen the end of war.
Tena chaap kwa haraka huku akirarua sikio la mwenzake,waswahili wanasema damu inamlilia muuaji sasa muuliwa analiliwa na damu aliyokuwa na kiu nayo.
 
Kwanini hawamuiti gaidi huyo au kwa kuwa Myahudi 😄

Wanafiki kweli Wakristo na Wayahudi angekuwa huyo kijana ana damu ya kiarabu au Muislam ungesikia wimbo wao wa kanisani Islamic extremism 😄
 
Records show he was registered as a Republican voter in Pennsylvania,

but previously made a $15 donation to a Democratic aligned group,
Source
Meg Oliver CBS News,


Ila wa hapa wanadhani Lissu haweizekani kuwa alishambuliwa na wenzake
Wenzake Lissu ndio wana mamlaka ya kuwaondoa walinzi waliowekwa na serikali eneo la tukio ?

Wenzake na Lisu ndio wana mamlaka ya kuondoa CCTV CAMERA eneo la tukio ?


Hivi kwa nini mnasababisha machungu kwa mababu zenu waliotangulia ahera kwa ujinga mnaouandika mitandaoni.
 
Terrorist ni mmoja, wakiwa wengi ni terrorists
Kitendo kinaitwa terrorism au kwa akili yako ugaidi lazima ufanywe na kikundi, hajafanikiwa kuua wamemuwahi ila lengo ilikuwa kufanya ugaidi kwahiyo anayetaka kufanya anaitwa gaidi, kwani wewe ukikamatwa na bunduki wakati unaenda kufanya tukio la ugaidi unadhani hautashitakiwa kwa ugaidi kwakuwa hujaua bado, embu muendage shule siyo kukariri
Tunaiomba Serikali Elimu izidi kutolewa.

Nawaza umeenda shule umeelezea hivi, je usingeenda?
 
Tunaiomba Serikali Elimu izidi kutolewa.

Nawaza umeenda shule umeelezea hivi, je usingeenda?
Enhee tuendelee kwahiyo unatuambia gaidi lazima asababishe vifo na wawe kikundi ??? Ndio akili zako zimeishia hapo?
 
Records show he was registered as a Republican voter in Pennsylvania,

but previously made a $15 donation to a Democratic aligned group,
Source
Meg Oliver CBS News,


Ila wa hapa wanadhani Lissu haweizekani kuwa alishambuliwa na wenzake
Hiyo ni kweli ndiyo maana hata vyombo vyote vya ulinzi na usalama wa raia na mali zao hivijachukua hatua yoyote mpaka sasa mbali na hatua za kumnyima hela zake za matibabu, kuzuia wananchi wasimwombee makanisani na kuendelea kukebehi lile tukio hadharani na sirini!
 
Kumbuka islamic terrorist ni wale wanotumia islamkc doctrine kufanya mauaji
Terrorist siyo maana yake awe muislamu terrorist ni mtu au kikundi chochote kinachotumia njia ya fujo ,kuua au vurugu na lenye malengo ya kisiasa
Ndio maana nasema wengi wenu ni ushabiki tu na mmekaririshwa hata maana ya hilo neno hamjui
 
Back
Top Bottom