Acha unaa comte hoja yako ni sawa na moja hivi ya Luca.Records show he was registered as a Republican voter in Pennsylvania,
but previously made a $15 donation to a Democratic aligned group,
Source
Meg Oliver CBS News,
Ila wa hapa wanadhani Lissu haweizekani kuwa alishambuliwa na wenzake
na pia only the dead have seen the end of war.Dead tells no tales
Tena chaap kwa haraka huku akirarua sikio la mwenzake,waswahili wanasema damu inamlilia muuaji sasa muuliwa analiliwa na damu aliyokuwa na kiu nayo.na pia only the dead have seen the end of war.
Unaa huu ya ccm mwiko ila dhidi ya chadema ruksa.Inasemaje hoja hiyo ya Luca
Wenzake Lissu ndio wana mamlaka ya kuwaondoa walinzi waliowekwa na serikali eneo la tukio ?Records show he was registered as a Republican voter in Pennsylvania,
but previously made a $15 donation to a Democratic aligned group,
Source
Meg Oliver CBS News,
Ila wa hapa wanadhani Lissu haweizekani kuwa alishambuliwa na wenzake
Kuku fck mpuuzi kama weweKazi ya raia ni nini?
Huyu alikuwa ameshalipwa tayariRecords show he was registered as a Republican voter in Pennsylvania,
but previously made a $15 donation to a Democratic aligned group,
Source
Meg Oliver CBS News,
Ila wa hapa wanadhani Lissu haweizekani kuwa alishambuliwa na wenzake
Em wasaidie na wengine wasiolewa maana ya gaidi uwaambie Gaidi ni nani?Ila hajaitwa terrorist kwa sababu siyo muislamu ,huyo ni jew
Tunaiomba Serikali Elimu izidi kutolewa.Terrorist ni mmoja, wakiwa wengi ni terrorists
Kitendo kinaitwa terrorism au kwa akili yako ugaidi lazima ufanywe na kikundi, hajafanikiwa kuua wamemuwahi ila lengo ilikuwa kufanya ugaidi kwahiyo anayetaka kufanya anaitwa gaidi, kwani wewe ukikamatwa na bunduki wakati unaenda kufanya tukio la ugaidi unadhani hautashitakiwa kwa ugaidi kwakuwa hujaua bado, embu muendage shule siyo kukariri
Enhee tuendelee kwahiyo unatuambia gaidi lazima asababishe vifo na wawe kikundi ??? Ndio akili zako zimeishia hapo?Tunaiomba Serikali Elimu izidi kutolewa.
Nawaza umeenda shule umeelezea hivi, je usingeenda?
Hiyo ni kweli ndiyo maana hata vyombo vyote vya ulinzi na usalama wa raia na mali zao hivijachukua hatua yoyote mpaka sasa mbali na hatua za kumnyima hela zake za matibabu, kuzuia wananchi wasimwombee makanisani na kuendelea kukebehi lile tukio hadharani na sirini!Records show he was registered as a Republican voter in Pennsylvania,
but previously made a $15 donation to a Democratic aligned group,
Source
Meg Oliver CBS News,
Ila wa hapa wanadhani Lissu haweizekani kuwa alishambuliwa na wenzake
Kumbuka islamic terrorist ni wale wanotumia islamkc doctrine kufanya mauajiIla hajaitwa terrorist kwa sababu siyo
Terrorist siyo maana yake awe muislamu terrorist ni mtu au kikundi chochote kinachotumia njia ya fujo ,kuua au vurugu na lenye malengo ya kisiasaKumbuka islamic terrorist ni wale wanotumia islamkc doctrine kufanya mauaji