Aliyejifanya Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa ashughulikiwa

Aliyejifanya Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa ashughulikiwa

MIMI BABA YENU

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
305
Reaction score
728
Tarehe 12/08/2022 RAYMOND NJOFU BWIRE (28) Mkazi wa Kamguluki Mkoa wa Mara alikamatwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kutuma ujumbe mfupi kwenye simu ya mkononi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mlele Mkoani Katavi anayejulikana kwa jina la TERESIA IRAFY.

BWIRE alimtaka Mkurugenzi IRAFY kumsaidia mdogo wake kupata kazi ya utendaji wa Kijiji kwa kujitambulisha kwa jina la DIWANI ATHUMANI Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Kufuatia suala hilo Mahakama ya Inyonga iliyopo Wilaya ya Mlele Mkoani wa katavi imemuhukumu BWIRE kifungo cha miaka mitano (5) jela kutokana na kosa hilo.
 
Tarehe 12/08/2022 RAYMOND NJOFU BWIRE (28) Mkazi wa Kamguluki Mkoa wa Mara alikamatwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kutuma ujumbe mfupi kwenye simu ya mkononi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mlele Mkoani Katavi anayejulikana kwa jina la TERESIA IRAFY

BWIRE alimtaka Mkurugenzi IRAFY kumsaidia mdogo wake kupata kazi ya utendaji wa Kijiji kwa kujitambulisha kwa jina la DIWANI ATHUMANI Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Kufuatia suala hilo Mahakama ya Inyonga iliyopo Wilaya ya Mlele Mkoani wa katavi imemuhukumu BWIRE kifungo cha miaka mitano (5) jela kutokana na kosa hilo.

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom