MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Kuna unafuu mkubwa kumchokozi mwenye mbwa kuliko kumshika mdomoni mbwa mwenyewe. Huyu kamgusa mbwa ndio maana kang'atwa vilivyosasa mama si ndo hatari yenyewe Hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna unafuu mkubwa kumchokozi mwenye mbwa kuliko kumshika mdomoni mbwa mwenyewe. Huyu kamgusa mbwa ndio maana kang'atwa vilivyosasa mama si ndo hatari yenyewe Hiyo
Kumbuka unaweza ukamchokoza mwenye mbwa na bado akamuamuru mbwa wake akung'ate vile vileKuna unafuu mkubwa kumchokozi mwenye mbwa kuliko kumshika mdomoni mbwa mwenyewe. Huyu kamgusa mbwa ndio maana kang'atwa vilivyo
Tena sabaya alitengeneza hadi kitambulisho cha usalama wa Taifa! Labda Sabaya nae system!!Je Sabaya alichukuliwa hatua gan na yy baada ya kujifanya usalama wa taifa?
[emoji23][emoji23][emoji23]Hukumu yake haina option ya kulipa pesa ama kweli amekosa sana bora hata angejifanya "mama"
Unafikiri mkurugenzi Hana number ya simu ya mkuu? Kijana hakutumia akiliHukumu yake haina option ya kulipa pesa ama kweli amekosa sana bora hata angejifanya "mama"
Sio kadandia mtumbwi wa vibwengoKaingia kinyumenyume kwenye geto la popobawa.
kuna watu wanaweza kujilipuwa.!Tarehe 12/08/2022 RAYMOND NJOFU BWIRE (28) Mkazi wa Kamguluki Mkoa wa Mara alikamatwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kutuma ujumbe mfupi kwenye simu ya mkononi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mlele Mkoani Katavi anayejulikana kwa jina la TERESIA IRAFY
BWIRE alimtaka Mkurugenzi IRAFY kumsaidia mdogo wake kupata kazi ya utendaji wa Kijiji kwa kujitambulisha kwa jina la DIWANI ATHUMANI Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.
Kufuatia suala hilo Mahakama ya Inyonga iliyopo Wilaya ya Mlele Mkoani wa katavi imemuhukumu BWIRE kifungo cha miaka mitano (5) jela kutokana na kosa hilo.View attachment 2331653
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app