Aliyejifanya Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa ashughulikiwa

Kuna unafuu mkubwa kumchokozi mwenye mbwa kuliko kumshika mdomoni mbwa mwenyewe. Huyu kamgusa mbwa ndio maana kang'atwa vilivyo
Kumbuka unaweza ukamchokoza mwenye mbwa na bado akamuamuru mbwa wake akung'ate vile vile
 
Ila Wajita kwa kujifanya much know!! Ngoja akanyee debe!
 
Kweli kakosa ila sio kwenda jela miaka mitano,
Kivyangu naona miezi sita ingetosha
 
Kajitakia mwenyewe, aende tu wakamyoshe...
 
Vijana wa hovyo kweli, haya ni madhara ya mtaala wa kijinga. Yaani hata kwa kutumia akili ndogo huwezi kutuma ujumbe kwa kutumia majina ya watu ukijua wewe sio huyo mtu na lazima watu watamtafuta mhusika tu kwa namna yoyote ile.
Maagizo kama hayo labda unge hack namba ya mhusika unayetaka uwe lakini sio huo ujinga.
Ngoja kakakae miaka 5 kakirudi uraiani katakuwa na adabu
 
kuna watu wanaweza kujilipuwa.!
 
Na yule aliyejifanya anafanya kazi ikulu aliishia wapi maana alitapeli watu wengi sana.
 
Sas yule alieombewa Kaz Yuko API itabid awajibike kwa familia yake huyu kwa sababu Ni yey ndio alikuwa anatafutiwa kazi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…