Mango juice
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 345
- 467
Hahaha mambo ya kuwekeana bonoko
Jesus never back again people should be aware about fake prophets.
Wakenya nao kujikutaga wana akili sana kumbe ni wehu tu..
Kweli wameamini huyo ni Yesu na kumpa sadaka..
Ila muda mwingine linapokuja suala la imani waafrika tunakuaga wajinga sana.
InasemekanaInasemekana atataremka kutoka mbinguni na atashukia Mashirika ya kati SyriaHata siku akija orijino watamtimua tu
He will be back again
Wakenya nao kwa kuchemka! Bado yule nabii wao mwingine mleta mvua na asiyenyoa ndevu; Ougor nani sijui yule!
!mnawasema wakenya bure tu. kwenu hapa je ?hamkulishwa maji ya kikombe mbugani masaini huko. Nchinzima ikahamia huko ? Mmemtajirisha babu yule wee........