Aliyekamatwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia ahukumiwa faini Tsh. Milioni 5 au miaka miwili jela

Kimsingi kuna mambo yanafikirisha sana. Hivi kwa mfano nimeenda zangu stationery, nikatengeza picha ya huyo mama, baadaye nikaona ni michosho!

Nikaamua kuichoma moto au kuichana, ndiyo nifungwe miaka miwili au kulipa faini ya milioni 5!

Learned fellows watatusaidia kujua imetumika sheria gani. Ili tuondoe aibu yetu mbele ya safari
 
Kimsingi kuna mambo yanafikirisha sana. Hivi kwa mfano nimeenda zangu stationery, nikatengeza picha ya huyo mama, baadaye nikaona ni michosho!

Nikaamua kuichoma moto au kuichana, ndiyo nifungwe miaka miwili au kulipa faini ya milioni 5!
Hata Wakoloni hawakuwa na sheria za aina hio, hii ni kwa nchi ya kizezeta kama Bongo
 
Zamani walau madikteta uchwara waliweza kuzima uhuru wa maoni sababu ya nchi za dunia ya 3 zilikuwa gizani kiteknolojia.

Nakukumbusha tu taarifa ya kwanza kuwa Magufuli amefariki ilitolewa tarehe 9 March 2021 kwenye ukurasa wa Evarist Chahali ila jumuiya ya Tanzania ikatangaziwa 17 March 2021, ikimbukwe baada ya Magufuli kufungia mitandao kwa siku 5 tangu October 28 hadi November 3 mitandao mingine yote ilirudi isipokuwa twitter ambayo haikupatikana bila VPN kwa watumiaji wa Tanzania kwa takriban miezi 6 je ja taarifa ya kifo chake ikatokea mtandao alioufungia .

Jibu ni kuwa huwezi zuia nguvu ya umma , sauti za watu wote na mitandao kwa zama hizi ukifungia huku watu wanatokea
 
Kumbe kesi zinaweza kwenda kasi hiv? Mahabusu wanakaa muda mrefu Kwa nn? Au kuna aina za kesi? Na uhusiano wa kesi inamhusu nani?
 
Jambo la huyu kijana kuchoma picha ya Rais,ni ishara kwa watawala kwamba HAMKANI SI SHWARI TENA.Na PANAPOFUKA MOSHI KUNA MOTO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…