Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,797 Reaction score 28,904 Sep 24, 2022 #21 Dah Pole sana Supa
D Dun duu Senior Member Joined May 28, 2022 Posts 132 Reaction score 213 Sep 24, 2022 #22 imhotep said: Haitasaidia demand ya madereva wa magari ya mafuta ni kubwa mno tofauti na malori mengine. Huyo dereva huenda kahamia kampuni nyingine anapiga kazi. Click to expand... Huko huko alikohamia laana litamkuta na atakunya kinyesi chenye maumivu
imhotep said: Haitasaidia demand ya madereva wa magari ya mafuta ni kubwa mno tofauti na malori mengine. Huyo dereva huenda kahamia kampuni nyingine anapiga kazi. Click to expand... Huko huko alikohamia laana litamkuta na atakunya kinyesi chenye maumivu
D Dun duu Senior Member Joined May 28, 2022 Posts 132 Reaction score 213 Sep 24, 2022 #23 kp kipanya44 said: Ungekuwa wewe ndo dereva ,na huo msala umeshatokea na unaona kabisa una nafasi ya kukimbia,ungejizuia kukimbilia? SEMA tu ukweli [emoji848] Click to expand... Angetafuta namna yoyote ya kumsaidia
kp kipanya44 said: Ungekuwa wewe ndo dereva ,na huo msala umeshatokea na unaona kabisa una nafasi ya kukimbia,ungejizuia kukimbilia? SEMA tu ukweli [emoji848] Click to expand... Angetafuta namna yoyote ya kumsaidia
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Sep 24, 2022 #24 Dun duu said: Huko huko alikohamia laana litamkuta na atakunya kinyesi chenye maumivu Click to expand... Kama ingekuwa ni kazi rahisi hivyo kumuombea mtu mabaya basi hii Dunia isingekalika. Mimi tokea nianze kumuombea Mwigulu akutane na Panya roadi mpaka nimeamua kuahirisha.
Dun duu said: Huko huko alikohamia laana litamkuta na atakunya kinyesi chenye maumivu Click to expand... Kama ingekuwa ni kazi rahisi hivyo kumuombea mtu mabaya basi hii Dunia isingekalika. Mimi tokea nianze kumuombea Mwigulu akutane na Panya roadi mpaka nimeamua kuahirisha.
whiteskunk JF-Expert Member Joined Jul 24, 2021 Posts 3,904 Reaction score 9,342 Sep 24, 2022 #25 Niseme tu ukweli bodaboda sizipendi tena zipigwe marufuku hazina maana, hasara zinazidi faida, Mjomba wangu alifumuka fuvu na mguu ukasagika kwa ujinga huu,
Niseme tu ukweli bodaboda sizipendi tena zipigwe marufuku hazina maana, hasara zinazidi faida, Mjomba wangu alifumuka fuvu na mguu ukasagika kwa ujinga huu,
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Sep 24, 2022 #26 whiteskunk said: Mjomba wangu alifumuka fuvu na mguu ukasagika kwa ujinga huu, Click to expand... Duuh! Pole sana.
whiteskunk said: Mjomba wangu alifumuka fuvu na mguu ukasagika kwa ujinga huu, Click to expand... Duuh! Pole sana.
whiteskunk JF-Expert Member Joined Jul 24, 2021 Posts 3,904 Reaction score 9,342 Sep 24, 2022 #27 imhotep said: View attachment 2366506 Duuh! Pole sana. Click to expand... Anatumia vidonge kila mwezi, asipotumia anakuwa kama kichaa, na ndo alikuwa nguzo ya familia
imhotep said: View attachment 2366506 Duuh! Pole sana. Click to expand... Anatumia vidonge kila mwezi, asipotumia anakuwa kama kichaa, na ndo alikuwa nguzo ya familia