Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
UnAjilinganisha na nchi iliyopiga Total lock down, nchi iliyowapa kila kaya mamilioni ya Covid stimulus na nchi yetu tuliyoipokea Covid na drama?Kuna tofauti kubwa kati ya dunia ya kwanza na hii yetu ya third.
Wakati askofu Gwajima akiitwa kwenye tume za maadili za bunge na CCM na kuadhibiwa kwa kuhoji umadhubuti wa chanjo wenzetu kule Marekani ni tofauti kabisa.
Mwanamuziki Minaj baada ya kugomea chanjo kutokana na ushuhuda wa ndugu yake kuvimba korodani baada ya kuchanjwa, Serikali ya nchi yake ya Marekani imemualika Ikulu ili akaelimishwe kwa upana kuhusiana na chanjo ya covid 19.
Mungu ni mwema wakati wote!
Wana muda hao na pesa
Sisi hata Pesa za madawati hazitoshi
Tukianza kuwaita watu ikulu kujadili the obviou ni upotezaji wa rasilimali tu