Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni Mgeni Kwenye Utumishi wa umma, kwa taarifa yako Afisa Elimu Wilaya ni kiongozi mkubwa hasa ukizingatia idadi ya watu anaowaongoza kuanzia waalimu hadi wanafunzi wa chekechea, msingi na Sekondari. Sikuelewi unaposema eti ni MTU Mdogo sana. Acha dharau wewe JUHA!!Mwalimu wa Wilaya ni mtu mdogo sana kumtolea tanzia JF unless awe alifanya jambo lililoleta impact kitaifa au aina ya kifo chake.
Mwalimu wa Wilaya ni mtu mdogo sana kumtolea tanzia JF unless awe alifanya jambo lililoleta impact kitaifa au aina ya kifo chake.Per
Perhaps marehemu alikuwa na undugu na one of the modetators, you never knowMwalimu wa Wilaya ni mtu mdogo lsana kumtolea tanzia JF unless awe alifanya jambo lililoleta impact kitaifa au aina ya kifo chake.
Vip tena Corona umerudi tena nn? Maana naona watu weanza kusepa sepa tenaAliye kuwa afisa elimu Wilaya ya Magu na baadae kuhamishiwa Dodoma makao makuu ndg Jesse Kaanyuma amefariki jioni hii katika hospitali ya taifa Muhimbili.
Ni taarifa zilizodhibitika kutoka kwa ndugu wa karibu kwenye familia kwa pamoja tunasema poleni walioguswa na msiba huu mzito