Pamoja..ingawa nimecheka sana comment yako..maji na Mafuta kisayansi yanachanaganyikana mkuu.kuna kitu kinaitwa emulsion.OK..ila tuko pamoja
Noo hyo iko clear...
HYPOTENSION ni Low blood pressure na
HYPERTENSION ni high blood pressure
Haya si tumeyasema na NumbisaHypotension sio high blood pressure .hypotension -low blood pressure na hypertension ni high blood pressure.
Yale Maisha yake mkuu kama mikogo yake tu ...kwani mafukara wangap wanapata magonjwa mabaya zaidi ya hayo ??Hakuna Neema kubwa kama afya!!! Nikifikilia ile mikogo kule instagram. ........Allah ampe nafuu inshaallah.
Bora muwarekebishe mkuu sijasoma posti zote ndio maana siku jua kama kasharekebishwaHaya si tumeyasema na Numbisa
Wewe ni mwanaume wa shoes. Safi sanaPole kwa Ivan, Ila kiukweli mimi Mungu hakunipa moyo wa kuoa mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine, off course ni haki yake kumjulia hali mtu aliyezaa nae watoto ila huo moyo wa kumuona akienda hospital kumuona mme wake wa zamani Mungu alininyima, siwezi kabisa kuvumilia, mlioachwa na waume zenu na bado wako hai mtanisamehe kwa kweli.
Hata awe na uwezo wa kumfanya kitu, kinachouma hapo ni kuona moyo wa mtu unayempenda ukionesha mapenzi kwa aliyekwisha achana nae, hata kama hawafanyi kitu ila ile sura ya huzuni ya mke wako kwa mme wake wa zamani haivumiliki kuiangalia, nina moyo wa nyama sio wa chuma.Unahisi huyo Ivan atamfanya nn Zari pale alipo lala?
Aisee bora hata angekua anamuona afu awe anacheka, yani umkute anahuzunika kabisa afu uvumilie, wakati umemnunulia na nyumba ya Milioni mia 4!!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hasa si ana umwa, anaenda kumcheki?
tena inabid na wewe mume mwenzie uende kumchek
Unaitwa silent killer jamani tupunguze vitambi mazoezi na vyakulaUgonjwa unaoua matajiri wengi.
Ndio mlemle its a clinical terminology kumaanisha BPHiki chanzo nacho balaa. Eti hypotension ni high blood pressure.????!!!! Hypertension ndo high blood pressure
ishu ni kuwa jamaa ana umwa na ni mzaz mwenzie inabid akamcheki, huyo Ivan wale watoto wengine ndio anawatunza yeye, so lazima hata domo apige kimya kama yeye mjanja awatunze wote watano tuoneAisee bora hata angekua anamuona afu awe anacheka, yani umkute anahuzunika kabisa afu uvumilie, wakati umemnunulia na nyumba ya Milioni mia 4!!!!
Hakika hairuhusiwi kuoa mwanamke aliyeachana na mme wake tena wakiwa wamezaa mtoto au watotoishu ni kuwa jamaa ana umwa na ni mzaz mwenzie inabid akamcheki, huyo Ivan wale watoto wengine ndio anawatunza yeye, so lazima hata domo apige kimya kama yeye mjanja awatunze wote watano tuone
bora mtoto bro, watoto wa tatu!! man! diamond got some balls out there.Hakika hairuhusiwi kuoa mwanamke aliyeachana na mme wake tena wakiwa wamezaa mtoto au watoto
Ni baba watoto wake lazima ahuzunikeHata awe na uwezo wa kumfanya kitu, kinachouma hapo ni kuona moyo wa mtu unayempenda ukionesha mapenzi kwa aliyekwisha achana nae, hata kama hawafanyi kitu ila ile sura ya huzuni ya mke wako kwa mme wake wa zamani haivumiliki kuiangalia, nina moyo wa nyama sio wa chuma.
Moyo wake umechanganyika na ujinga fulani hivibora mtoto bro, watoto wa tatu!! man! diamond got some balls out there.
jamaa huwa namsifu