Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
- Thread starter
- #41
Pamoja..ingawa nimecheka sana comment yako..maji na Mafuta kisayansi yanachanaganyikana mkuu.kuna kitu kinaitwa emulsion.OK..ila tuko pamoja
Shukrani dokta. Maana masuala haya mpaka niumwe ndio nitajua maana yake
Noo hyo iko clear...
HYPOTENSION ni Low blood pressure na
HYPERTENSION ni high blood pressure