Aliyekubali Switch za bwawa la umeme la Rusumo Tanzania zikawekwe Rwanda ametumia akili zake ipasavyo?

Ndio kwa maelezo yangu , ya kwako je bi yapi??
Nakusikiliza wewe mwalimu wangu , mpakani πŸ˜‚πŸ˜‚. Tuko pamoja, hivyo na mimi kwa elimu uliyonipa , nasema ni mpakani, mimi kama mimi.


Sasa niambie, Bwawa liko mpakani (Mto kagera) au lipo Tanzania?
 
Nakusikiliza wewe mwalimu wangu , mpakani πŸ˜‚πŸ˜‚. Tuko pamoja, hivyo na mimi kwa elimu uliyonipa , nasema ni mpakani, mimi kama mimi.


Sasa niambie, Bwawa liko mpakani (Mto kagera) au lipo Tanzania?
Nataka jibu lako wewe kama wewe
Mto upo tz au rwanda????
 
Wewe kama kweli mwanaume toa hilo jibu sio unakuja unabwabwaja tuu bila hata .
Nimekuwekea mifano mingi sana.
Huku juu.
 
Umeshidwa hata kutetea hoja zako kwa ushahidi hai.
Mimk nimekuelezea vitu Virginia tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…