Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Nishakujibu juu sirudi tena.Bwawa lipo mpakani (Mto Kagera) au lipo Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishakujibu juu sirudi tena.Bwawa lipo mpakani (Mto Kagera) au lipo Tanzania
Mto kagera upo tz au rwanda??Upo mpakani umesema, mimi sipingi. Sasa niambie, Bwawa lipo mpakani (Mto Kagera) au lipo Tanzania
Upo mpakani kwa maelezo yako, sithubutu kukupinga, ni kupinge mimi kama nani? Sina jeuri hiyo, ila nataka kujua tu, Bwawa lipo hapo mpakani (mto Kagera) au lipo Tanzania?Mto kagera upo tz au rwanda??
Nishakujibu hilo swali , na maelezo megi tuu.Bwawa lipo hapo mpakani (mto Kagera) au lipo Tanzania?
Mto kagera upo tz au rwanda?Upo mpakani kwa maelezo yako, sithubutu kukupinga, ni kupinge mimi kama nani? Sina jeuri hiyo, ila nataka kujua tu, Bwawa lipo hapo mpakani (mto Kagera) au lipo Tanzania?
Taja post number uliyojibu location ya BwawaNishakujibu hilo swali , na maelezo megi tuu.
Sirudi tena.
Nimetoa post nyingi wewe rudi tuuTaja post number uliyojibu location ya Bwawa
Mpakani, kwa maelezo yako.Mto kagera upo tz au rwanda?
Jibu languTaja post number uliyojibu location ya Bwawa
Mpakani, kwa maelezo yakoJibu langu
Mto kagera upo tz au rwanda?.
Ndio kwa maelezo yangu , ya kwako je bi yapi??Mpakani, kwa maelezo yako.
Yakwako ni yapiMpakani, kwa maelezo yako
Nakusikiliza wewe mwalimu wangu , mpakani 😂😂. Tuko pamoja, hivyo na mimi kwa elimu uliyonipa , nasema ni mpakani, mimi kama mimi.Ndio kwa maelezo yangu , ya kwako je bi yapi??
Nataka jibu lako wewe kama weweNakusikiliza wewe mwalimu wangu , mpakani 😂😂. Tuko pamoja, hivyo na mimi kwa elimu uliyonipa , nasema ni mpakani, mimi kama mimi.
Sasa niambie, Bwawa liko mpakani (Mto kagera) au lipo Tanzania?
Kama nilivyosema awali mwalimu wangu mtukufu, lipo Mpakani, unataka nijibu vipi sasa 😂Nataka jibu lako wewe kama wewe
Mto upo tz au rwanda????
Sio mtukufu mimimtukufu
Sawa, usiye mtukufu 😂Sio mtukufu mimi