GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna siku moja wakati nikipitia pitia maandiko matakatifu ya katika Biblia niliwahi kuona mahala fulani Mtakatifu Paulo akiwahimiza sana Wakristo hasa juu ya matumizi ya Ulimi na nakumbuka mara kwa mara alikuwa akisema kwamba Ulimi huu huu unaweza kukusababishia matatizo makubwa na kwamba usipokuwa nao makini Ulimi huo huo utakuponza.
Hatimaye Injili ya Mtakatifu Paulo kwa Wakorinto juu ya matumizi ya Ulimi imetimia hivi leo tu baada ya Gavana wa Nyeri Bwana Wahome Gakuru ambaye kwa wiki moja tu au mbili zilizopita alisikika na hadi kununuliwa na Vyomba vya habari vya nchini Kenya akisema kwamba anatamani sana Kiongozi wa NASA sasa NRM Resist Bwana Raila Odinga apigwe risasi afe kwani anaichafua Kenya na hana faida kwa Wakenya.
Kwa bahati mbaya sijui nzuri maombi yake yametimia baada ya Yeye mwenyewe Gavana Wahome Gakuru kufariki dunia kwa ajali mbaya mno ya Gari ambayo ilipasuka tairi yake na ikapinduka vibaya sana wakati wakielekea jijini Nairobi huku Mlinzi wake na Dereva wake nao wakiwa wamejeruhiwa vibaya sana na hali zao inasemekana bado ni mbaya.
Kweli haya ni maajabu ya kweli yaani yule anayeombea mwenzake afe ' mara paaap ' Yeye ndiyo anatangulia Kufa tena Kifo kibaya pengine ni tofauti na ambacho labda atakuja kufa nacho yule aliyekuwa akimuombea afe. Jamani tujitahidi mno kutumia Ulimi kwa kutoa maneno yenye kheri vinginevyo tu maombi yako mabaya kwa GENTAMYCINE yatakufanya Wewe ndiyo utaabike bure kwa mateso halafu Yeye bado anapeta tu kwa nguvu na baraka zake Mwenyezi Mungu.
Naamini kabisa tena kwa 100% kwamba ' message sent and delivered '.
Nawasilisha.
Hatimaye Injili ya Mtakatifu Paulo kwa Wakorinto juu ya matumizi ya Ulimi imetimia hivi leo tu baada ya Gavana wa Nyeri Bwana Wahome Gakuru ambaye kwa wiki moja tu au mbili zilizopita alisikika na hadi kununuliwa na Vyomba vya habari vya nchini Kenya akisema kwamba anatamani sana Kiongozi wa NASA sasa NRM Resist Bwana Raila Odinga apigwe risasi afe kwani anaichafua Kenya na hana faida kwa Wakenya.
Kwa bahati mbaya sijui nzuri maombi yake yametimia baada ya Yeye mwenyewe Gavana Wahome Gakuru kufariki dunia kwa ajali mbaya mno ya Gari ambayo ilipasuka tairi yake na ikapinduka vibaya sana wakati wakielekea jijini Nairobi huku Mlinzi wake na Dereva wake nao wakiwa wamejeruhiwa vibaya sana na hali zao inasemekana bado ni mbaya.
Kweli haya ni maajabu ya kweli yaani yule anayeombea mwenzake afe ' mara paaap ' Yeye ndiyo anatangulia Kufa tena Kifo kibaya pengine ni tofauti na ambacho labda atakuja kufa nacho yule aliyekuwa akimuombea afe. Jamani tujitahidi mno kutumia Ulimi kwa kutoa maneno yenye kheri vinginevyo tu maombi yako mabaya kwa GENTAMYCINE yatakufanya Wewe ndiyo utaabike bure kwa mateso halafu Yeye bado anapeta tu kwa nguvu na baraka zake Mwenyezi Mungu.
Naamini kabisa tena kwa 100% kwamba ' message sent and delivered '.
Nawasilisha.