TANZIA Aliyekuwa dereva wa Mkurugenzi msaidizi (Utawala) ofisi ya Makamu wa Rais, Bw Willhelmy Benard Kido afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa dereva wa Mkurugenzi msaidizi (Utawala) ofisi ya Makamu wa Rais, Bw Willhelmy Benard Kido afariki dunia

Mgerasi inakuwaje kuna kateenager jana nilikapiga saundi kitaa nikakavuta Ghetto jana iyoiyo halafu kalikuwa kanakooa nakupiga chafya balaa. Ila at thirty kovid hainiondoi
Yechu asee. Kuwa makini bana ji isolate siku kadhaa kwanza.
 
Na mbona haijaelezwa kuwa aliwahi kumwendesha Waziri Mkuu?

Kama aliwahi kumwendesha PM imekuwaje akashushwa mpaka kuwa Dereva wa Mkurugenzi wa Utawala?
Ni muda gani alitumika kutekeleza jukumu la kumuendesha PM na lini alishushwa kumwendesha Mkurugenzi wa Utawala?
 
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.

AMEN
 
Kama alikuwa dereva wa majaliwa akahamishiwa kwa samia maana yake kawafanya positive those two out of three!!sasa hapo si hatuambiwi tu ukweli kwamba...!!!!!!!Asante kigogo2014 kwa taarifa!!!!!!!
 
Nimejaribu wiki mbili nikasema this is bullshit liwalo na liwe. Na mzigon tumepewa layoffs. Barakoa sivai na napiga misele kama kawaida tu
Kiburi si maungwana....
utupe kabisa namba za mwajiri wako siku ukifa tuje tukubebe tukurudishe bongoland....
manake wazungu hawakawii kukutupa kwenye pipa la taka...
 
Back
Top Bottom