Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unachukua hatua za kujilinda Mkaldayo?Tanzia zimeshaanza tena kumiminika hizi siku mbili tatu kulituliaaa
Aliyewahi kuwa dereva wa waziri mkuu amefariki kwa CoronaView attachment 1446428
😆😆😆Kwa habari kama hizi mnategemea Magu atatoka chato havi katmribuni. I think hata wabafunzi wataruhusiwa kwenda shule ila yeye atakuwa bado chato
Sent using Jamii Forums mobile app
Yechu asee. Kuwa makini bana ji isolate siku kadhaa kwanza.Mgerasi inakuwaje kuna kateenager jana nilikapiga saundi kitaa nikakavuta Ghetto jana iyoiyo halafu kalikuwa kanakooa nakupiga chafya balaa. Ila at thirty kovid hainiondoi
Nimejaribu wiki mbili nikasema this is bullshit liwalo na liwe. Na mzigon tumepewa layoffs. Barakoa sivai na napiga misele kama kawaida tuYechu asee. Kuwa makini bana ji isolate siku kadhaa kwanza.
Lakini kidogo hali si shwari sio kama miezi ya nyuma hapa.Nimejaribu wiki mbili nikasema this is bullshit liwalo na liwe. Na mzigon tumepewa layoffs. Barakoa sivai na napiga misele kama kawaida tu
Tanzia zimeshaanza tena kumiminika hizi siku mbili tatu kulituliaaa
Ni muda gani alitumika kutekeleza jukumu la kumuendesha PM na lini alishushwa kumwendesha Mkurugenzi wa Utawala?Na mbona haijaelezwa kuwa aliwahi kumwendesha Waziri Mkuu?
Kama aliwahi kumwendesha PM imekuwaje akashushwa mpaka kuwa Dereva wa Mkurugenzi wa Utawala?
mano likwelikwe
Kiburi si maungwana....Nimejaribu wiki mbili nikasema this is bullshit liwalo na liwe. Na mzigon tumepewa layoffs. Barakoa sivai na napiga misele kama kawaida tu