TANZIA Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Servacius Likwelile afariki dunia

dikteta2020

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2018
Posts
595
Reaction score
3,991
Hii Corona sasa sijui, tutazika mpaka lini? mwenzio akinyolewa zako tia maji, sio kutoa pole tu huku kwenye mitandao kama vile Corona haituhusu, huu ni wakati wa kumrudia muumba wetu serious.

Lakini utashangaa leo jmosi watu wanaenda disko hawana barakoa!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…