mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Tunawalindaje sasa😎😎 au tujitenge nao🙌Tafiti isiyo rasmi: 96% ya death cases ni wanaume aged beyond 50 years. #TuwalindeWababa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawalindaje sasa😎😎 au tujitenge nao🙌Tafiti isiyo rasmi: 96% ya death cases ni wanaume aged beyond 50 years. #TuwalindeWababa!
Hatujawahi kuishinda corona. Corona inakuja kwa awamu. Ile ilikuwa awamu ya kwanza na haikudhibitiwa ndiyo maana imekuja tena nyingine tena kwa ukali.Viongozi acheni utani wa maisha ya raia wenu, chukueni hatua za haraka kabla nchi haijageuka kuwa graveyard
Mwaka jana tuliishinda corona kwa sababu zifuafazo: 1. Serikali ilikuwa mstari wa mbele kusimamia mapambano ya corona 2. Kulikuwa na taskforce inayoshughulika na wagonjwa wa corona. Kama mgonjwa yuko nyumbani mlikuwa hamruhusiwi kumsafirisha ila mnapiga simu anafuatwa nyumbani ili kuepusha...www.jamiiforums.com
Nafikiri tutafute maana ingine ya ushindi. Huwezi kudai ulishinda wakati huna takwimu sahihi za watu wako waliopoteza maisha!Viongozi acheni utani wa maisha ya raia wenu, chukueni hatua za haraka kabla nchi haijageuka kuwa graveyard
Mwaka jana tuliishinda corona kwa sababu zifuafazo: 1. Serikali ilikuwa mstari wa mbele kusimamia mapambano ya corona 2. Kulikuwa na taskforce inayoshughulika na wagonjwa wa corona. Kama mgonjwa yuko nyumbani mlikuwa hamruhusiwi kumsafirisha ila mnapiga simu anafuatwa nyumbani ili kuepusha...www.jamiiforums.com
Anafurahia yule wa pili sasa atakuwa na uhuru wote?Kweli jasiri yeye hadi mfiwa anapata nguvu ya kuandika kuchagua picha na kupost instagram!! Wafiwa wa siku hz utamkuta na nguvu ya kuchagua sare kuchagua nguo kujiremba kutoa hotuba nk nk Asubiri mirathi tu aongeze utajiri
Acha mihemko mkuu, duniani tunapita. Roho itamrudia aliyeitoa na mwili utarudi mavumbini ulikotoka. Ni nyakati za kutubu na kunyenyekea mbele za Mungu aliye hai.Lo lo lo!!
Likwelile kaondoka?
Jamani corona nomaa!!
Ni Bar yake na Vicky Kamata nadhaniBeda park ndio bar yake au huwa anakuja kula mtungi
Wapate ajira? huyu anayezikwa leo alikuwa keshastaafuMbna wazee Tu , au Mungu ameamua kuwapigania vijana kivingine wapate ajira ...R.I.P mwamba , tukutane asubuhi njema ya ufufuo kama ulizichanga vizur kete hapa duniani na Mungu wako lakni..kama uliharibu basi tena
Hivi jamani wabongo bado hamjajua tu corona ni hatari kwa watu wa umri gani? Ni kuwa mnaropoka tu au hamjui? Unakuta mtu na akili zake anaandika utumbo mtupu. Mungu apiganie watu kwa kuua wengine tena wasio na hatia?Mbna wazee Tu , au Mungu ameamua kuwapigania vijana kivingine wapate ajira ...R.I.P mwamba , tukutane asubuhi njema ya ufufuo kama ulizichanga vizur kete hapa duniani na Mungu wako lakni..kama uliharibu basi tena
Tafiti isiyo rasmi: 96% ya death cases ni wanaume aged beyond 50 years. #TuwalindeWababa!
Unaweza kukuta awamu nyingine tena ikajaHatujawahi kuishinda corona. Corona inakuja kwa awamu. Ile ilikuwa awamu ya kwanza na haikudhibitiwa ndiyo maana imekuja tena nyingine tena kwa ukali.
Mindset za vijana wengi wabongo hovyo kabisa. Mungu aue watu ili wengine wafaidike?Wapte ajira??? Nyo huyu anayezikwa leo alikuwa keshastaafu
Who are you to Ask Me ?????Mkuu comment yako inahusiana Nini na hii thread?
Kabisa mkuu. Unajua ndiyo maana nchi nyingine duniani hawalali kutafuta ufumbuzi wa chanjo. Wanajua isipodhitiwa hao virus wata-mutate na kuja awamu nyingine kwa ukali zaidi. Ndugu yangu anasema suluhuhisho ni kusali siku tatu!Unaweza kukuta awamu nyingine tena ikaja
Sawa mkuu bas kama we ni Mzee stay home...!!!Hivi jamani wabongo bado hamjajua tu corona ni hatari kwa watu wa umri gani? Ni kuwa mnaropoka tu au hamjui? Unakuta mtu na akili zake anaandika utumbo mtupu. Mungu apiganie watu kwa kuua wengine tena wasio na hatia?
Corona itamalizika kwa rika zote kufuata masharti. Hata mzee akikaa nyumbani kama kijana hafuati masharti atampelekea virus yule mzee aliyebaki nyumbani. Upo hapo?Sawa mkuu bas kama we ni Mzee stay home...!!!