Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,569
Cop ThatOne man down
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cop ThatOne man down
Abort mission, I repeatI repeat another Man down...please send a chopper...!!
Mayday response here!I repeat another Man down...please send a chopper...!!
Tukimbilie wapi mkuu au tusubiri tu maana kuna watu wana vaa barakoa bado ina wabeba!Wazee tunaisha.......moyo unaenda mbio kwa uoga.....nikiiwazia tu corona najihisi pumzi inakata muda wowote.......
Liwalo na liwe......
Mi nauwaza msambwanda wa mke wake tu,Vick Kamata,aje kwangu tu,ni mleeVicky Kamata atangaza kuondokewa na mwenza wake Dkt. Servacius Beda Likwelile. Moja ya wahadhiri nguli na wanazuoni wa kitanzania Dkt. Servacius Likwelile hatunaye. Dkt. Likwelile amewahi kuhudumu katika Wizara ya Fedha na Mipango kama Katibu Mkuu kabla ya uteuzi wake kutenguliwa mwaka 2016.
Pia soma
- Vicky Kamata afunga Ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Likwelile
Awamu nyingine inaweza kuanza kutungua kuanzia miaka 20+🙆Unaweza kukuta awamu nyingine tena ikaja
I cop that Serge, Hey Cap Abort mission call for resecure TeamMayday response here!
Heey nigga whr ar u? give location & take cover we gotta mission to accomplish do'n in this f**kng valley will b there after 2 f*n hrs. Read me?.OVER
kwa muda gani mkuu pengine!Only the strong will survive
Ova
Vijana wanakufa ndugu yangu japo si kwa kasi ya 5GMbna wazee Tu , au Mungu ameamua kuwapigania vijana kivingine wapate ajira ...R.I.P mwamba , tukutane asubuhi njema ya ufufuo kama ulizichanga vizur kete hapa duniani na Mungu wako lakni..kama uliharibu basi tena
Mke wake si wanasema naye alikufa? Zamani mke akifa na mwanamume akafuatia kwa karibu, kizingizio kilikuwa ni ugonjwa fulani - sasa mna kisingizio kingine! Kwani kile cha kwanza kimeisha? Watanzania bhana!Lo lo lo!!
Likwelile kaondoka?
Jamani corona nomaa!!
Aione myebusiMi nauwaza msambwanda wa mke wake tu,Vick Kamata,aje kwangu tu,ni mlee
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
Kila mmoja apambane na Hali yake , kila mmoja kaumbwa kivyake , Kaja duniani kivyake, atakufa kivyake na atazikwa kivyake....hakuna wa kulaumu mwenzakeCorona itamalizika kwa rika zote kufuata masharti. Hata mzee akikaa nyumbani kama kijana hafuati masharti atampelekea virus yule mzee aliyebaki nyumbani. Upo hapo?
Kweli jasiri yeye hadi mfiwa anapata nguvu ya kuandika kuchagua picha na kupost instagram!! Wafiwa wa siku hz utamkuta na nguvu ya kuchagua sare kuchagua nguo kujiremba kutoa hotuba nk nk Asubiri mirathi tu aongeze utajiri