Wamashaweka kwenye satellites kwenye low orbit ya dunia,so it is beamed from there!
Nimeamini wewe hujasoma,kwa hiyo kubishana na wewe ni kupoteza muda bure.5G haina madhara!Kafanye homework yako vizuri,taarifa kuhusu madhara ya 5G zimejaa mtandaoni.Uongo mtupu,pia 5G haina madhara yoyote.
Acha kuokoteza debunked conspiracy theories za Gwajima, utawehuka.
Nasema - Inna Lillahi wainna ilahi rajiuun
Na ndo watu wanachofeli mkuu!Hii Corona sasa sijui, tutazika mpaka lini? mwenzio akinyolewa zako tia maji, sio kutoa pole tu huku kwenye mitandao kama vile Corona haituhusu, huu ni wakati wa kumrudia muumba wetu serious.
Lakini utashangaa leo jmosi watu wanaenda disko hawana barakoa!.
Wewe unajua chanzo!Mpaka mnakera! Nani kakuambia kuwa Ni korona?
=CORONAAir pollution (Chemtrails etc.)+5G=Ugonjwa wa njia ya hewa!
Everything about C-19 is a hoax.The virus has never been isolated,does not adhere to Kock's postulates,so it is not a disease.By implication therefore it is not a pandemic,it is a scandemic.Kama huelewai maana ya pandemic ni bora ukatafute conspiracy ya dunia ni flat uipandishe jukwaani
Udaku!=CORONA
Nenda mortuary utapata jibu.Ndo homa gani hiyo?.
Udaku nao ni corona!Udaku!
Hii ni gadhabu ya Mungu!
Watu tunatubu Mungu aondoe tatizo,then tunaendelea na maisha yaleyale ya ajabuajabu halafu tunategenea Mungu afurahi?
Take note; not this time!
Mambo yamebadirika na yatabarika!
Asikiae na afahamu!
Ni Toba tu,sbb hii ni gadhabu ya Mungu kabisa!Akajasembamba sikia: Mwaka Jana tuliishinda corona kwa maombi, si sababu yoyote nyingine! Hayo uliyoyataja nchi zingine ziliyafanya kwa kiwango Cha Hali ya juu lakini corona haikuwaacha. Mwaka huu tutashinda pia kwa kumwomba Mungu!
Nimeamini wewe hujasoma,kwa hiyo kubishana na wewe ni kupoteza muda,5G haina madhara,kafanye homework yako vizuri,taarifa kuhusu madhara ya 5G zimejaa mtandaoni.
Halafu u,wewe hufundishiki,nimeshakuambia conspiracy maana yake ni kufanya kitu evil au unlawful against someone,sasa mimi nimefanya kitu gani evil and unlawful,sana sana ninafunua siri za baba yako Shetani.Acha kuwekewa maneno mdomoni wewe.
Duuu sikujuaMarry bado yupo hai! Ndiye mke wa ndoa. baadaye akaoa secretary wake (ndiye aliyekufa) na sasa huyu cha wote Vicky Kamata.
Yah!chukua tahadhari usisubiri serikali ikuambieR.I.P
Corona ipo chukua tahadhari
Mkuu japo umenichekesha lakini nimeona huruma sana, kwenye kula tangawizi ongeza na machungwa na kunywa maji au chai yenye limao ili uongeze vitamin C mwilini, otherwise ongeza na vidonge vya vitamin C.Mimi nimeamua kutafuna tangawizi kama nakula miwa vile.......mifuko yote imejaa tangawizi......
Huu mwaka kutoboa ni bahati nasibu....
Tafuna tuu dear, bado nakupenda
Sent from my TECNO maana maisha matamu.....
Asante sana kwa ushauri wako mkùu Mungu akubariki sana......kwa pamoja tutaishinda vita....Mkuu japo umenichekesha lakini nimeona huruma sana, kwenye kula tangawizi ongeza na machungwa na kunywa maji au chai yenye limao ili uongeze vitamin C mwilini, otherwise ongeza na vidonge vya vitamin C.
[emoji88][emoji88][emoji88]Nenda mortuary utapata jibu.