Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Naaam Mtumishi!!!!.Hii ni gadhabu ya Mungu!
Watu tunatubu Mungu aondoe tatizo,then tunaendelea na maisha yaleyale ya ajabuajabu halafu tunategenea Mungu afurahi?
Take note; not this time!
Mambo yamebadirika na yatabarika!
Asikiae na afahamu!
Mtu anajua anakula ARV still anashinda Beda park.Hii corona ukiwa na pressure, kisukari Unaweza kupona kirahisi lakini ukiwa na ngwengwe kupona ni ngumu. Lukuvi kapona labda hana ngwengwe
Why should one have the idea that a normal person like me can conspire,I do not have that power after all. Conpiracies are done by governments,international organizations and powerful groups of people against human populations.Any person who lables another person a conspirator is either very ignorant of the nature of conspiracies, or does not have an independent mind and is being used by the actual conspirators to ridicule others,so he or she is mind controlled.Yale yale ya Y2K.
Change is a challenging process, change management strategies should be formulated and implemented to ensure communities are well informed and ready to embrace changes.
It is hard to go away from conspiracy theories.
Hii ni kweli kabisa[emoji848]Ni Toba tu,sbb hii ni gadhabu ya Mungu kabisa!
Tuliomba akaiondoa halafu tunaendelea na maisha yaleyale badala ya kumrudia na kuacha uovu
Mkuu una uhakika anaelewa Y2K? pengine ni mtoto sana kuelewa Y2K na kisanga kilichotokea.Yale yale ya Y2K.
Change is a challenging process, change management strategies should be formulated and implemented to ensure communities are well informed and ready to embrace changes.
It is hard to go away from conspiracy theories.
Ukitokea Mbezi unaingia barabara ya Mpiji then mbele mbele....unaikuta mkono wa kushoto mwa barabara kuna kibao kikubwa Beda ParkTuelekeze vizuri hapo Beda Park tafadhali
Korona inapenda watu waogaKweli kabisa ndugu kuna jamaa jirani yangu ana vaa barakoa sanitizer hakosi kwenye gari huyu adi akiwa kwenye gari mwenyewe ana vaa barakoa ila imemdaka!
Tuchukuwe tahadhari kubwa sana haswa mtu anapo muuguza mgonjwa maana wengi wano uguza wana uguwa pia!
😂😂😂 pengine mkuuKorona inapenda watu waoga
Wananzengo wameskia huko.Yah!chukua tahadhari usisubiri serikali ikuambie
Ova
Jamani, hivi sasa hivi maradhi mengine yamekoma kuua? Kwa nini kila kifo kinapelekwa kwwnyw corona tu. Hofu itawamaliza!Hii Corona sasa sijui, tutazika mpaka lini? mwenzio akinyolewa zako tia maji, sio kutoa pole tu huku kwenye mitandao kama vile Corona haituhusu, huu ni wakati wa kumrudia muumba wetu serious.
Lakini utashangaa leo jmosi watu wanaenda disko hawana barakoa!.
Ukiwa na afya mggr cvd ikikupitiaaaJamani, hivi sasa hivi maradhi mengine yamekoma kuua? Kwa nini kila kifo kinapelekwa kwwnyw corona tu. Hofu itawamaliza!
Mkuu una uhakika anaelewa Y2K? pengine ni mtoto sana kuelewa Y2K na kisanga kilichotokea.
Mbona kuna nyakati tuliambiwa ni bibi mdogo wa mkubwa mwingine!!!Vicky Kamata atangaza kuondokewa na mwenza wake Dkt. Servacius Beda Likwelile.
We vipi kwani hakuna magonjwa mengine au changamoto nyingine ila hizi za kipuuzi na "kichawi"?Kwani ulitaka WAFE na nini?
Anza wewe, mwenye roho mbaya na mwenye kuombea wengine mabaya! Sisi tupo na tuna ISHI KWA NGUVU NA UWEZA WA DAMU YA YESU WA NAZARETH. Damu yenye nguvu kuliko hiyo ya kondoo na mbuzi wako wa MAKAFARA!Corona ipo kuwa na tahadhari all the time...may be hayajampata mmoja wenu katika familia ndio maana unakuwa mbishi mbishi....ukiwa na magonjwa mengine tofauti na corona na ikakupata corona hapo ni balaaa bob, anza kuaga mapema
Leo mke anadai hakumkuta hata na miaDuuu
Hili SHUWA limeondoka? Ila hata hivyo limekula Sana maisha hata akiondoka poa tu
Duh
Vicky kakisanua huko anadai hakuacha kituCorona inaua, tuchukue hatua