Aliyekuwa kocha wa yanga afutiwa vibali vya kufanya kazi

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Shirikisho la Soka la nchini Afrika Kusini (SAFA) limemfutia jumla vibali vya kazi Luc Eymael aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga kufanya kazi ndani ya nchi hiyo. Imeeleza taarifa kupitia tovuti ya SAFA.

Itakumbukwa, Eymael Julai 26 baada ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Lipuli alisambaza taarifa ambazo zilikuwa zinaonyesha ubaguzi wa rangi na kusema watanzania hawajui soka.

Tayari Yanga imeshamfuta kazi Eymael jumla kutokana na kitendo hicho na kuomba radhi kwa mashabiki, Serikali na Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF).

Kocha huyo pia aliomba msamaha kwa kueleza kuwa alifanya hivyo kutokana na hasira alizokuwa nazo kwa kupitia kipindi kigumu ndani ya Yanga.
 
Huyo kocha atakuwa na uchizi..sio kawaida
Kwa mapuuza aliyofanya sizani kunatimu itamkubalia.
Nanyie yanga lipeni pesa zao
 
Angewekewa hata star times.ndo maana anaona hatuna akili. Nami siku zote nasema sisi yanga kweli tuna akili kuwa na watu namna hii?sasa majibu nmeyapata. Sisi ni manyani. Hatuna elimu.
Sema wewe ni nyani sio sisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…