Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Kwa hiyo una prove alivyotutukana wana yanga ni un educated na tunapiga kelele kama nyani na mbwa? Jamaa ametuchafua sana.anadharau....sisi wengine tumeenda shule...why a generalize ?
Kuna nchi nguruwe wanatumika kufanya kazi nzuri. Huyu haikuwa riziki