Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MWAMBE ALITAKA UMWENYÈKITI TAIFA CHADEMA KWA LEONGO LA KUUWA CHAMA.AKAJIFUKUZA MWENYEWEAliyekuwa Mbunge wa Ndanda kupitia CHADEMA, Cecil Mwambe amechukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 kupitia Chama cha Mapinduzi.
Kapigwa vibaya sana !Kwaio anapita free Mandela
Mungu anisamehe, sio vizuri, lakini mwenzenu nimeshindwa kujizuia kushangilia kukwama kwa msaliti mkuu.Kapigwa vibaya sana !
Hao 33 ndio walikua wanaizuga TZ nyakati pevu za uasi.Ndanda
Oscar Anthony Ng'itu - 250
Faraja Nandala - 154
Cecil Mwambe - 33
Hao ni wale anaowanywesha bei kwake na kule kwa ndugu yake james(mboche)Ooh nimehama na watu wangu, watu wenyewe ndio hao 33 waliompa kura?!
Mungu anisamehe, nimeshindwa kujizuia kushangilia kukwama kwa msaliti mkuu.Kapigwa vibaya sana !
Kwi Kwi KwiNdanda
Oscar Anthony Ng'itu - 250
Faraja Nandala - 154
Cecil Mwambe - 33
Atapewa tena na Spika.Aliyekuwa Mbunge wa Ndanda kupitia CHADEMA, Cecil Mwambe amechukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 kupitia Chama cha Mapinduzi.
Wako 32 sio 33 hahahahaOoh nimehama na watu wangu, watu wenyewe ndio hao 33 waliompa kura?!
Amombee ndugai apate uspika atamwita. Maana alisema yeye ndo anaapisha wabunge.Wako 32 sio 33 hahahaha
Basi sawaAmombee ndugai apate uspika atamwita. Maana alisema yeye ndo anaapisha wabunge.
Sa Oscar Anthony Ng'itu alipangiwa kazi nyingine,kama ubunge alidhulumiwa?Ndanda
Oscar Anthony Ng'itu - 250
Faraja Nandala - 154
Cecil Mwambe - 33