Ni mbunge wa zamani Jimbo la Serengeti. Ameeleza kuwa kile kilichowakimbiza Mh Lissu na Mh Lema kwenda ughaibuni ndio hicho hicho kilichomfanya kuunga juhudi.
Kwa maana nyingune kunguru Mwoga hukimbiza ubawa wake.
Mbunge akiwa chadema 2015 hadi 2018 alipoamua kuunga juhudi.
Aomba msamaha mbele ya hadhara.
Kwa maana nyingune kunguru Mwoga hukimbiza ubawa wake.
Mbunge akiwa chadema 2015 hadi 2018 alipoamua kuunga juhudi.
Aomba msamaha mbele ya hadhara.