Aliyekuwa Mbunge wa Serengeti arejea CHADEMA. Aeleza kilichomsibu na kuomba msamaha

Aliyekuwa Mbunge wa Serengeti arejea CHADEMA. Aeleza kilichomsibu na kuomba msamaha

Kawaida maana lowassa na sumaye walirudi Ccm baada ya kukosa walichokifata chadema
Usilolijua ni kama usiku wa giza nene. Enzi zile za siasa ya kijahiria kukaa upinzani hasa kwa watu waliokuwa na profile kubwa kabisa serikalini kama Mzee Lowasa na Sumaye ilitakiwa uwe umejisusa hasa. Walikuwa wanaenda kupoteza mali na haki zao nyingi sana.

Hongera sana mama Samia. Umeleta utengamano na kuuondoa ujahiri
 
Usilolijua ni kama usiku wa giza nene. Enzi zile za siasa ya kijahiria kukaa upinzani hasa kwa watu waliokuwa na profile kubwa kabisa serikalini kama Mzee Lowasa na Sumaye ilitakiwa uwe umejisusa hasa. Walikuwa wanaenda kupoteza mali na haki zao nyingi sana.

Hongera sana mama Samia. Umeleta utengamano na kuuondoa ujahiri
It was terrible.
 
SIASA NI MCHEZO

Nawasikitikiaga Sana wanaharakati wanaojiunga na wanasisasa wakitegemea kuwa wanapigana vita moja
 
Back
Top Bottom