Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara baada ya kusimamishwa kazi Jana, Nehemia Mchechu kakamatwa na TAKUKURU kwa mahojiano zaidi. Taarifa zinasema Junanne atapandishwa mahakamini kwa makosa kadhaa yakiwemo uhujumu uchumi, uchepushaji na matumizi mabaya ya madaraka
Mytake: Kwa kweli Rais Magufuli Mungu azidi kukubariki sana sana. Unafanya kazi iliyotukuta hasa kwa wanyonge. Mungu akubariki sana Rais Magufuli
Mara baada ya kusimamishwa kazi Jana, Nehemia Mchechu kakamatwa na TAKUKURU kwa mahojiano zaidi. Taarifa zinasema Junanne atapandishwa mahakamini kwa makosa kadhaa yakiwemo uhujumu uchumi, uchepushaji na matumizi mabaya ya madaraka
Mytake: Kwa kweli Rais Magufuli Mungu azidi kukubariki sana sana. Unafanya kazi iliyotukuta hasa kwa wanyonge. Mungu akubariki sana Rais Magufuli
Huyo unayesema aombewe, aliyemtuma fisadi mchechu abomoe billicanas wakati kesi bado IPO mahakamaniMnafiki nani
Huyu jamaa ni mzee wa dili siku nyingi sana. Kinachonishangaza ni kuwa hakusoma maandishi ukutani? Alifikiri bado ni kipindi na yule rais legelege!Sasa bila shaka mtaelewa kwa nini Rais wetu anaomba tumwombee.Kwa dhati ya moyo wake ameamua kusafisha nchi anapaswa kuungwa mkono na kila mtanzania mwenye nia njema na nchi hii.Nataka niwambie kwa mwendo huu Tanzania mpya yenye maendeleo haiepukiki.viva Magufuli viva Tanzania tuendelee kumwombea apambane na wale wote walikwisha ibia nchi hii kwa muda mrefu
Kumbe rais alikuwa anawazuia TAKOKUU kufanya kazi yao?Kumbe mambo yake unayajuwa, tuwekee nasi tutowe tongotongo.
hahahahahahah..Mshana bana..you make me laugh when I least expect to ;-)Umeharibu hapo kwenye mytake
Wacha asafishe nchi aondoke wengine waongoze!Sasa bila shaka mtaelewa kwa nini Rais wetu anaomba tumwombee.Kwa dhati ya moyo wake ameamua kusafisha nchi anapaswa kuungwa mkono na kila mtanzania mwenye nia njema na nchi hii.Nataka niwambie kwa mwendo huu Tanzania mpya yenye maendeleo haiepukiki.viva Magufuli viva Tanzania tuendelee kumwombea apambane na wale wote walikwisha ibia nchi hii kwa muda mrefu
Hili ndio tatizo kubwa tulilonalo watanzania wengi. Nashangaa mpaka watu wenye ufahamu wa kutumia computer tunashindwa kuona correlation kati ya ufisadi na umaskini wa nchi! You must be joking dude kuuliza kukamatwa kwa mtuhumiwa wa ufisadi kunasaidia vipi maskini!Kukamatwa kwa Mchechu na kusaidia wanyonge inaendana vipi? Au kukamatwa kwa Mchechu, wanyonge wanapata chakula?
Swali kuntu! Kupata jibu ngoja Sizo apitie hapa labda atakujibu!Mnyeti anakamatwa lini na Takukuru?
Kachelewa kutimka
Hili ndio tatizo kubwa tulilonalo watanzania wengi. Nashangaa mpaka watu wenye ufahamu wa kutumia computer tunashindwa kuona correlation kati ya ufisadi na umaskini wa nchi! You must be joking dude kuuliza kukamatwa kwa mtuhumiwa wa ufisadi kunasaidia vipi maskini!
Hizo ni ndoto za alinacha anza kujiandaa tu kisaikolojia Magufuli is here to stay for another Eight years to come.Wacha asafishe nchi aondoke wengine waongoze!
Bora useme wewe kaka mkubwa.. hawa ndo wale aina ya walala hoi wanafurahia hali kuwa ngumu hata kwa matajiri kwa kauli ya "kifo cha wengi harusi"Umeharibu hapo kwenye mytake
Kweli moyo ni mdanganyifu kuliko vyote, tena una ugonjwa wa kufisha. Mtu unalamba mshahara halali wa zaidi ya 20m kwa mwezi lkn bado haiutoshi!
Mimi nikipata mshahara wa usd 5,000/ = kwa mwezi sina sababu ya kufanya ufisadi.
Vv
Hizo ni siasa nyembamba sana kuhusisha ubomoaji wa bilcanas na kazi kubwa anayofanya mhHuyo unayesema aombewe, aliyemtuma fisadi mchechu abomoe billicanas wakati kesi bado IPO mahakamani