tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,327
- 4,624
Vizuri, Ila si ielewi serikali, Ramadhan Dau na wenzake wanaponaje? nao tuhuma zao si ndo kama hizo
Nani atamzuia yeye kutumia pesa za umma kujenga kwao? Tz bado sana.Sasa bila shaka mtaelewa kwa nini Rais wetu anaomba tumwombee.Kwa dhati ya moyo wake ameamua kusafisha nchi anapaswa kuungwa mkono na kila mtanzania mwenye nia njema na nchi hii.Nataka niwambie kwa mwendo huu Tanzania mpya yenye maendeleo haiepukiki.viva Magufuli viva Tanzania tuendelee kumwombea apambane na wale wote walikwisha ibia nchi hii kwa muda mrefu
Hapo ndo alipokosea angafikiria ile methali ya JK "mawazo ya kuambiwa changanya na yako"Huyo unayesema aombewe, aliyemtuma fisadi mchechu abomoe billicanas wakati kesi bado IPO mahakamani
Umeshaingiza siasa!Safi sana afungwe jela. Huyo huyo aliyemtuma kubomoa billicanas Leo kamgeuka.
Wewe ni kati ya wale ama waliokuwa wamezoea madili na sasa umebanwa au ndg yake na mmoja wa mafisadi wanaonyea ndoo gerezani siyo bure!!Siwezi kumuunga mkono rais wa visasi, anayekumbatia mabashite, anayevunja nyumba za wanyonge, anyesigina demokrasia, ameweka kapuni katiba mpya, anayefurahia watu wake kula msoto, asiyetaka wengine waombewe, asiyehudhuria misiba, anayekula rambirambi, anayesema wazi hakuna kuchagua wapinzani kama vile siasa imekuwa uadui, anayezalisha wake za watu, anayehubiri amani wakati kaficha panga mgongoni. Anayetafuta kiki kwa vitu ambavyo ni vya kawaida, nini Msechu, tuliona akina Mramba wakiingia jela. Anayetufanya kwa kutudanganya dollar bilioni moja zimekamatwa, kama vile dollar hizo ni hela ya kukaa kwenye handbag, asiyetimiza ahadi zake, wapi millioni 50 kwa kila kijiji. NIKISEMA NTAMWOMBEA NTAKUWA MNAFIKI KAMA YEYE, AKINILAZIMISHA KUMWOMBEA NTAOMBA KINYUME
Hizo ni siasa nyembamba sana kuhusisha ubomoaji wa bilcanas na kazi kubwa anayofanya mh
Mwendawazimu ni yule anayekubali kununuliwa kama ng'ombe! Ama? Tena ni vizuri acha wanunuliwe wote ili siku nyingine wapinzani wajue hasara ya kuokoteza makapi mpaka malaya walioshindikana na kuwapa VIP treatment tena na viongozi top! Unaokoteza mpaka Wema? Kama sio kuishiwa ni nini!Sasa unazuia ufisadi wa Mchechu, hizo ulizomzuia Mchechu unaenda kununulia wawakilishi wa upinzani. Halafu unatumia hizi hela kurudia uchaguzi!! Kama sio wenda wazimu ni nini?
Aende Tanroad !!Sasa bila shaka mtaelewa kwa nini Rais wetu anaomba tumwombee.Kwa dhati ya moyo wake ameamua kusafisha nchi anapaswa kuungwa mkono na kila mtanzania mwenye nia njema na nchi hii.Nataka niwambie kwa mwendo huu Tanzania mpya yenye maendeleo haiepukiki.viva Magufuli viva Tanzania tuendelee kumwombea apambane na wale wote walikwisha ibia nchi hii kwa muda mrefu
Akili ya Maskini anaamni umaskini wakeKukamatwa kwa Mchechu na kusaidia wanyonge inaendana vipi? Au kukamatwa kwa Mchechu, wanyonge wanapata chakula?
Mwendawazimu ni yule anayekubali kununuliwa kama ng'ombe! Ama? Tena ni vizuri acha wanunuliwe wote ili siku nyingine wapinzani wajue hasara ya kuokoteza makapi mpaka malaya walioshindikana na kuwapa VIP treatment tena na viongozi top! Unaokoteza mpaka Wema? Kama sio kuishiwa ni nini!
Kuna jamaa kamuulizia yule Mkuu wa Mkoa aliejitapa kununua watutakukuru siku hizi wana ona kweli na wanakuweka ndani muda mrefu sana
Mkuu, una visa na KIBONDE?Na wale watangazaji wote waliokuwa wanamsifia maisha ni nyumba nao wakamatwe wakaisaidie mahakama kuna vitu watakua wanavijua maana walikuwa wanamwagia sifa kedekede