Uchaguzi 2020 Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Kimei achukua fomu ya kutia nia jimbo la Vunjo kupitia CCM

Msiogope Katia nia tu hajaptishwa, subirini apitishwe ndio muhofie.
 
Mbatia Mbatia Mbatia
Tulikuambia ukajifanya kuwakimbia uwajua na kujiona kinara ukaanza kuzungumza kama mwanaume ulietimia ona sasa unarudisha jimbo kwa CCM kilaini haswa.......................... Pole sana ndio utarudi na NCCR yako ndoto eti uwe KUB my foot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…