guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,758
Kazi ipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehesasa hivi Mbatia ile kipara inamtoka jasho
Mawazo mfu hayo kaka.Hujui malengo yake.CEO/MD alikuwa anachezea Mabilioni ya Shilling na Dollar leo anaenda kukimbizana na Tsh 12m per month.
Huo mkopo wa 800m+ alikuwa na uwezo wa kuupata pale CRDB!!
Mbatia bye bye. Maana tusidanganyane pesa ni kama magnet inavuta watu bwana.
Labda malengo mengine ila CEO/MD wa CRDB ni zaidi ya Waziri au Mbunge!!!Mawazo mfu hayo kaka.Hujui malengo yake.
Wizara sensitive hio hawezi kaa apo
Haviitwi vitimaalum, viti maalum ni kwa wanawake tuNdo viti maalum vya Rais.
Hamzidi waziri ww hata katibu mkuu hamfikiiLabda malengo mengine ila CEO/MD wa CRDB ni zaidi ya Waziri au Mbunge!!!
Mabilioni hayo sio mali yake ni mali ya kampuni ya crdb ni sawa useme dr mpango anachezea matrilioni ya shilingi wizarani hela hizo zake ni bajeti ya serikali.CEO/MD alikuwa anachezea Mabilioni ya Shilling na Dollar leo anaenda kukimbizana na Tsh 12m per month.
Huo mkopo wa 800m+ alikuwa na uwezo wa kuupata pale CRDB!!
Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Ndugu Charles Kimei amefika katika ofisi za CCM Kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi-CCM kupeperusha bendera Jimbo la Vunjo.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Dkt. Charles Kimei Mbunge mtarajiwa Vunjo
Wewe nawe acha uwage unafikiria kwa akili yako.Haviitwi vitimaalum, viti maalum ni kwa wanawake tu
Huku ndio kuna mbatia,pia kuna mrema
Kwani Mbatia hakupewa kishika uchumba?Mbatia bye bye. Maana tusidanganyane pesa ni kama magnet inavuta watu bwana.
Mama Tanzania itakua Mama Vunjo.
Mama Tanzania itakua Mama Vunjo.
Huu ndio mwisho wa heshima ya Bwana Kimei.
Siasa ni chafu, na madudu yake sasa hadharani.
Madudu yapi ?Wengine wanafanya madudu kisomi. Hata ukimtafuta hupati traces. Ni kama mzee wa vijisenti huwezi dhibitisha madudu yake.