Wasaliti wa kiwango cha lamiHuku ndio kuna mbatia,pia kuna mrema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasaliti wa kiwango cha lamiHuku ndio kuna mbatia,pia kuna mrema
Yaani sikupanga hata kucheka! Naona unamkalipia! HahahaaaaSema ni sehemu ya maisha yako sio ulazimishe umalaya kwetu unaskia wewe?
Ni mimi rimerudi, waritaka kunichukua musukule ....waapi!Kachukue form wewe.Halafu hili jina lako linanikumbusha yule mtia nia Bariadi ,alifariki ghafla.Yule ilikuwa lazima ashinde lile jimbo letu.R.I.P Jidula mabambasi.
Kweli Watanzania ni wajinga na wabinafsi.. Kwahiyo wewe unachoona ni Ubunge ni kujineemesha yeye na familia yake??CEO/MD alikuwa anachezea Mabilioni ya Shilling na Dollar leo anaenda kukimbizana na Tsh 12m per month.
Huo mkopo wa 800m+ alikuwa na uwezo wa kuupata pale CRDB!!
Brav wassuuup.. There is something behind the scenes. We subiri tu..Daaah Daktari Kimei ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana, CCM doesn't deserve such a guy.
Nimejisikia vibaya sana kuona msomi kama yeye anajiingiza kwenye hizi siasa za Tanzania.
Mbatia bye bye. Maana tusidanganyane pesa ni kama magnet inavuta watu bwana.
Hahahahah hao jamaa wame loose mchana kweupe .Huku ndio kuna mbatia,pia kuna mrema
hapa hata ningekua rais huyu ni waziri wangu wa fedha na uchumi bila.kupepesa machoNdiye Mbunge wa viunjo na Waziri wa fedha na uchumi
Jamaa na mama tanzania yake huwa ananikeraMama Tanzania itakua Mama Vunjo.
Yule ndo wazir wa fedha ajaye au gavana kabisaMbatia huko alipo atakuwa anaumia sana. Hapa Kimei atapata asubuhi na mapema. Iam sure CCM watampitisha. Maana kura za maoni hilo halina shaka kishashinda.
kumbe hawa waheshimiwa sana wanaweza pata milioni 800 ?CEO/MD alikuwa anachezea Mabilioni ya Shilling na Dollar leo anaenda kukimbizana na Tsh 12m per month.
Huo mkopo wa 800m+ alikuwa na uwezo wa kuupata pale CRDB!!
I'm gud brava, nasubiri nione itaishaje kwa huyu mzee wetu!Brav wassuuup.. There is something behind the scenes. We subiri tu..
Huyu hajajiamulia tu..
nimecheka sana hapo uliposema ana pesa za kutosheleza bajeti ya serikali hii [emoji23][emoji23]Mkuu huyu hakufuata pesa,pesa anazo za kutosheleza bajeti ya serikali hii.
Huyu anataka kurudisha Mkoa wa Kilimanjaro CCM iliwasitengwe na serikali ya CCM.Wameishaona hasara zake hasa toka Magu achukuwe madaraka.In return matajiri wa Kilimanjaro warudi kufanya investment nchini.
Nafikiri hata yule Mkuu wa Mkoa wa Tabora mstaafu yupo kutimiza jambo hilo hilo,kushiriki kwenye maamuzi ya kiserikali ngazi za juu.
Ila sijui yule NCCR aliyetumikia CCM kwa uwanifu ataenda wapi?
Uyo anaenda kutafuta political power tu kwasasa kitu ambacho alikuwa hanaCEO/MD alikuwa anachezea Mabilioni ya Shilling na Dollar leo anaenda kukimbizana na Tsh 12m per month.
Huo mkopo wa 800m+ alikuwa na uwezo wa kuupata pale CRDB!!
Haina tatizo mwache ajaribu na huko huenda atalamba shavu la uwaziri na akafanya vizuri.Huu ndio mwisho wa heshima ya Bwana Kimei.
Siasa ni chafu, na madudu yake sasa hadharani.