Uchaguzi 2020 Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Kimei achukua fomu ya kutia nia jimbo la Vunjo kupitia CCM

Sababu ya wagombea wengi sisiemu kujitokeza ni wameona sasa sisiemu ya jpm inakubalika zaidi kwa wananchi.
 
Kama sammata,kutoka champions league hadi championship,lakini yote maisha.
 
ubunge una nini jamani!?!
si kwa vikumbo hivi ninavyo viona, sitaki kuamini kama kweli wote wanania ya kutatua kero za wananchi la hasha walio wengi ni tamaa ya posho na marupurupu ya ubunge.
spika badilisheni hayo marupurupu ya ubunge na posho
 
Ungeone video ya magufuli wakati yupe geita wanafungua tawi la crdb maneno alosema kwa kimei ... usingeandika hivyo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Huyo anapita bila shida labda kifo kimtenganishe
Sasa niwekee nami hiyo video.
 
Mbatia huko alipo atakuwa anaumia sana. Hapa Kimei atapata asubuhi na mapema. Iam sure CCM watampitisha. Maana kura za maoni hilo halina shaka kishashinda.
Mkuu VIP unaweza ukakujua wengine waliochukua fom kwa ccm vunjo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…