Nakazia sisi ni wa Allah na kwake tutarejea.R.I.P Inalilahi wa Inainailahi Rajiun
Una maana gani?Ikianza misiba kama hii ujue kuna kubwa kuliko inakuja. Apokelewe anapostahili
Mdini sana na mkabila usiwe ivyo.πππ
Huyoooo. Maliza kuswali kwanza wewee. Swala muhimu.Mdini sana na mkabila usiwe ivyo.πππ
Huyoooo. Maliza kuswali kwanza wewee. Swala muhimu.
Wakianza kufa watu wazito huwa ni mfuatano mkuuUna maana gani?
Wewe unafuatia.Una maana gani?
Mbona mimi siyo mzitoWewe unafuatia.
Aboubakar Ibrahim Nkya Ni yule mmiliki wa Tanganyika Army?
Ndiyo huyoAboubakar Ibrahim Nkya Ni yule mmiliki wa Tanganyika Army?
Baby yake NI rajabu kirama,ndio aliye leta uislam mkoani Kilimanjaro