TANZIA Aliyekuwa Mkuu wa Itifaki Ikulu, Captein Aboubakar Ibrahim Nkya Afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mkuu wa Itifaki Ikulu, Captein Aboubakar Ibrahim Nkya Afariki dunia

AbaMukulu

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2018
Posts
2,053
Reaction score
3,586
Taarifa ambazo zimewekwa kwenye mtandao wa kijamii wa balozi Omari Kashera unathibitisha kufariki kwa Captein Aboubakar Ibrahim Nkya. Marehemu amefariki nchini India alipokuwa anapatiwa matibabu.



Soma zaidi kumhusu
 
R.I.P Inalilahi wa Inainailahi Rajiun
 
Huyoooo. Maliza kuswali kwanza wewee. Swala muhimu.
20221204_232044.jpg
 
kauli ya makamba inasemaje kuhusu watu waliokufa
 
Back
Top Bottom