Naona ana jipigia debe mwenyewe. Njaa mbaya sanaHii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kunamaridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejuwa jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.
Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Hizo ni ndoto zako tu, Ila utakapo ona kuna choo mbele yako, amka usingizini, UTAJINYEA Bure.Hii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kunamaridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejuwa jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.
Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
kijana siasa za upinzani anazimudu ccm wameona mbali
Sawa ndio vizuri Ili Chadema wamuumbueHii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kunamaridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejuwa jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.
Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Nani kapiga huo muhuri mwekundu?Natembea uchi mpaka msamvu,faili lake ikulu limepigwa muhuri mwekundu
Acha wivuuu, hiiii safu inasibiriwaa saaanaa saaana. Mimi maoni yangu makonda apewee dar kabisaaaKina Cha maji hakipimwi kwa kuingiza miguu, tutavuka mto tukiufikia, kwa Sasa hatutoi panga zetu kwenye ala.
Itakuwa blunder kubwa sana ambayo itaandamana na political risks, na sioni wa kubeba hilo zigo la misumari, walau kwa wakati huu.
Ni huyu mtu ambaye anatajwa kuwa Dodoma wakati Lissu akinyeshewa mvua ya risasi. Na ni mtu huyu, tangu nchi hii iumbwe, Yuko blacklisted asikanyage U.S.A kwa kudhulumu haki ya kuishi. Kudhulumu haki ya kuishi ni kwamba kwa mkono wake au Kwa maelekezo yake, aliuwa watanzania wenzetu iwe kwa mapanga, kwa risasi, au kuwanyonga, inawezekana walimlilia sana awaache au awasamehe, lakini akahakikisha wanakufa kifo Cha kikatili, bila fursa ya kuaga wapendwa wao, Wala kujulikana walipozikwa.
Ameshaonja damu ya binadamu, bila shaka atakuwa na kiu ya damu nyingine, ni ya nani Kati ya wa Tizee milioni 61?
Muuaji mkubwa yule, alistahili kuwa kifungoni au kitanziniHii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kunamaridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejuwa jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.
Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Mmetumwa na yeye kuja jamii forums kumpigia chapuo?!kijana siasa za upinzani anazimudu ccm wameona mbali
Landmines katika Siasa zake ni nyingi kuliko za Angola na Ukraine, atakayejaribu kutembea katika terrain ya Makonda, ajihesabu amekwisha.Acha wivuuu, hiiii safu inasibiriwaa saaanaa saaana. Mimi maoni yangu makonda apewee dar kabisaaa
Wajiandae kuporwa kama wenzao DarHii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga,
Anazimudu kwa kufanya ama kuongoza mauaji na uhalifu sehemu mbalimbali tanzania awamu ile ya tano? Au labda unieleweshe anazimudu vipi?kijana siasa za upinzani anazimudu ccm wameona mbali
[emoji23][emoji23][emoji23]Hakika hizi ni habari njema haswa kama huyo Bwana amekuwa nje ya ajira kwa kipindi chote hicho bila shaka hizi ni habari za matumaini kwake na familia.
Basi na akawe mchapa kazi ili anayempa ajira aone kuwa hajakosea.
Mkuu sina hakika sana kama unafikiri kwa kutumia kichwa, hivi wapinzani ndio wamereta utitiri wa tozo na hali ngumu ya maisha hata wachukiwe😵Wana moto gani? Ni upuuzi mtupu. Wananchi wametoka kwenye dhiki waje wakahangaike na vurugu za za upinzani?.
Je unajua kwanini hata tozo na gharama kupanda sababu ya kuyumba uchumi wa dunia na hali ya hewa na corona wananchi hawakureact? Ni sababu tulitoka kwenye dhiki kuu ya miaka 6. Hakuna mtu ana hamu na wapinzani wasio na nia ya dhati na wanayosema.
Hii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kunamaridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejuwa jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.
Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
mkuu utamchukia wewe mbona mimi ni mtanzania sitomchukia, achukiwe kwa lipi! kama makonda humpendi siyo wote ambao hawampendi labda huko chadema.
Kuna tetesi pia kuwa alishiriki kumpiga Lisu risasi ndiyo unasema kigezo kuwa aliziweza siasa za upinzani? Muulize Roma Mkatoliki alimficha wapi? akimpa U -RC, basi wapinzani wajue kuna jambo baya kwao linakuja. Nimemuonya Lisu asithubutu kuja huku!Rubbish!Hii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kunamaridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejuwa jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.
Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Una uhakika gan kama atachukiwa na watanzania wote??mimi nitaendelea kumpendaSamia atachukiwa sn sn na watanzania