Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha Gabriel Daqqaro amechukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge jimbo la Babati vijijini kupitia Chama Cha Mapinduzi-CCM
Si ni yule uteuzi wake umetengulia juz na Jamaa zake Gambo. Si ndo yule aliwahi kuwa mlinzi wa Rais. Si ndo yule yuko kitengoni kule au? Si ndo yuleee......