Umeona eeehSawa fanya code mixing!
Basi fanya kwa usahihi!!
Kiswahili hovyo.
Kiingereza hovyo.
Aisee hii code mixing haieleweki aiseeSawa fanya code mixing!
Basi fanya kwa usahihi!!
Kiswahili hovyo.
Kiingereza hovyo.
wewe ni mwanaume wa wapi? unayetafuta tanzania ya viwanda jukwaa la celebrities 😂😂😂😂uliondika uzi utakua mwanaume wa dsm kama sio bhasi ni mkoani maana sio kwa ujinga uo embu tudiscuss tanzania ya viwanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nashangaa watu hawajamjua tu, Baila Zari alidhalilisha Hamisa, huu jibebe, mumewe tena kamdhalilisha Hamisa, ila binti ana roho ya paka.Akitoa ngoma mpya lazma atafute Kik kwa namna yoyote hata kudhalilisha watu
Wanamsifia kuwa ni iron lady, kama huo ndo u iron basi ye ni winnerMie nashangaa watu hawajamjua tu, Baila Zari alidhalilisha Hamisa, huu jibebe, mumewe tena kamdhalilisha Hamisa, ila binti ana roho ya paka.
Akitoa ngoma mpya lazma atafute Kik kwa namna yoyote hata kudhalilisha watu
Baada ya kugundua hilo nimemdharau sn hata muziki wake siufagilii sana.Mama ake na muziki wake ndio vitu pekee nahisi Diamond anaviheshimu na kuvithamini ivyo yuko tayari kufanya jambo lolote kulinda ivyo viwili hata kama kuwadhalilisha wazazi wenzie,watoto wake ilimradi muziki wake usogee mbele ila kwa ujumla wanawake wana wakati mgumu sana na uyu mmanyema.
Mbona anafanya shughuli zake vzr tu! Sema labda wewe uko busy na diamond ndio maana hujui hilo.Huyu jamaa kama angekuwa serious zaidi na kazi yake angepiga hela sana,kwani kufanya kazi na Diamond kumempa umaarufu mkubwa sana na naona anashindwa kuutumia , siku hizi ameamua kuchamba kwa kutumia insta hii si tabia ya kiume.Ujue sisi wanaume huwaga hatuna vinyongo hata tukiwa na beef zetu lakini zinachukuaga muda mfupi na huisha,sasa kwa kulijua hilo kama alikuwa na neno lake basi angewafikishia watu wengine wa karibu na Diamond huo ndio ushikaji ,mimi mwenyewe hata nigombane vipi na marafiki zangu ,hata kama akikosea siwezi kumkosoa mbele ya kadamnasi ,hata kama kaniblock nitatafuta watu wa karibu nitaongea nao wamfikishie ujumbe basi.Sasa yeye analeta habari za wadada wa Bongo Movies.Hebu kifesi fanya kazi yako ,haya maswala ya Diamond na familia yake achana nayo .
Mimi nipo bize na mambo Diamond au yy ndiye yupo bize na mambo ya Diamond.Mambo mengine unabidi uwe kama mwanaume ,so unatumia ile busara ya kiume basi,sasa alichokifanya yy kinatofauti gani na wadada wa bongo movies,kakosea jamaa wanaume huwaga hatufanyagi hivyo.Wanaume tunaitana chemba au kama umekorofishana nae bado yule ni jamaa yako kwani mnashare marafiki,so unamwambia rafiki naye akamwambie mshikaji easy like that,sasa ww unaamua kulimwaga insta si ujinga huo.Mbona anafanya shughuli zake vzr tu! Sema labda wewe uko busy na diamond ndio maana hujui hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wenye ndoto na waliokua na ndoto ya kufanywa nae wapo tayari kumvumilia kwa hiloMama ake na muziki wake ndio vitu pekee nahisi Diamond anaviheshimu na kuvithamini ivyo yuko tayari kufanya jambo lolote kulinda ivyo viwili hata kama kuwadhalilisha wazazi wenzie,watoto wake ilimradi muziki wake usogee mbele ila kwa ujumla wanawake wana wakati mgumu sana na uyu mmanyema.
Aliyekuwa mpiga picha wa Diamond Platnumz (Kifesi) atoa ushauri kwa msanii huyo kuhusu kumuita side kid mtoto aliyezaa na mwanamitindo Hamisa Mobetto anayejulikana kwa jina la Dylan.
View attachment 846192
Waambie mods waunganishe ubuyu huuMmapenda kuleta udaku
Tabu hamuukamilishi
Ngoja nikusaidie
View attachment 846225
Nimejiuliza kwa kufanya kote kazi kwake ameshindwa vipi kumpa hata mtu barua yaliyoandikwa haya ili apelekewe.
Kiki kagundishwa naye.. acha amtumie pia kujipaisha. Hii nchi imejaa watu wa ajabu.. ajionee aibu au azae yeye nje tumsikie. Kiki tu hakuna lingine hapa.. atangaze kazi zake basi.. au mkutane mpigane kabisa.. shame
Asipoutumia vizuri umaarufu alioupata atajutia sana huko mbeleniHuyu jamaa kama angekuwa serious zaidi na kazi yake angepiga hela sana,kwani kufanya kazi na Diamond kumempa umaarufu mkubwa sana na naona anashindwa kuutumia , siku hizi ameamua kuchamba kwa kutumia insta hii si tabia ya kiume.Ujue sisi wanaume huwaga hatuna vinyongo hata tukiwa na beef zetu lakini zinachukuaga muda mfupi na huisha,sasa kwa kulijua hilo kama alikuwa na neno lake basi angewafikishia watu wengine wa karibu na Diamond huo ndio ushikaji ,mimi mwenyewe hata nigombane vipi na marafiki zangu ,hata kama akikosea siwezi kumkosoa mbele ya kadamnasi ,hata kama kaniblock nitatafuta watu wa karibu nitaongea nao wamfikishie ujumbe basi.Sasa yeye analeta habari za wadada wa Bongo Movies.Hebu kifesi fanya kazi yako ,haya maswala ya Diamond na familia yake achana nayo .