Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Msiba nadhani utakuwa tegetaPolen kwa wafiwa msiba utakuwa wap na mazish wap
PoleRip eng
Juzi tu tulikuwa tunataka tuje tukutembelee na mzee hapo hosp ukasema you need privacy na ulikuwa unaendelea vizuri leo asb ur gone [emoji20]
Ni huyo huyo mkuu, aliunga juhudi za JPM, naye hakumsahau katika teuzi.huyu mwamba na aliyekuwa katibu mkuu wizara ya ujenzi mhandisi Joseph Malongo ni ndugu? naona kama wanafanana kiaina ila yule mwingine alikua sura ya ulevi
Bongo ukifikisha miaka 60 inabidi ufanye sherehe watu wanakufa bado vijanaView attachment 2578414
Engineer Joseph Malongo, aliyewahi kuwa mfanyakazi hatimaye Msajili wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi, amefariki dunia asubuhi leo, katika hospitali ya Mlonganzila.
RIP Eng Joe Malongo.
DaaahRip eng
Juzi tu tulikuwa tunataka tuje tukutembelee na mzee hapo hosp ukasema you need privacy na ulikuwa unaendelea vizuri leo asb ur gone 😞
PolesanaRip eng
Juzi tu tulikuwa tunataka tuje tukutembelee na mzee hapo hosp ukasema you need privacy na ulikuwa unaendelea vizuri leo asb ur gone 😞
kama ndio mwenyewe basi mlitakiwa mlete picha alivyokuwa katibu mkuu alipauka sanaaaa pamoja na kuwa na cheo pia uzi ungesomeka aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wiraza ya ujenzi,Ni huyo huyo mkuu, aliunga juhudi za JPM, naye hakumsahau katika teuzi.
Jitunze na hicho kiuno chakoDaaah
AmenJitunze na hicho kiuno chako