Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Aliyekuwa msajili wa Vyama vya michezo nchini Riziki Majala afariki .
Chanzo cha kifo inasemekana ni ugomvi kati yake na mwanae ambae inadaiwa ana shida ya akili baada ya kukataa kumpa hela ukazuka ugomvi uliopelekea kifo.
Chanzo cha kifo inasemekana ni ugomvi kati yake na mwanae ambae inadaiwa ana shida ya akili baada ya kukataa kumpa hela ukazuka ugomvi uliopelekea kifo.