TANZIA Aliyekuwa msajili wa Vyama vya michezo nchini, Riziki Majala afariki

TANZIA Aliyekuwa msajili wa Vyama vya michezo nchini, Riziki Majala afariki

Kizazi cha 2000 wakikosa hela ya pombe +bando basi shida tupu

Ova
 
Kwa hio dogo kamuua Mzee wake? Mboni story haijakamilika
 
Kama alikuwa na tatizo la Afya ya Akili basi Mzee alikosea kutokumpeleka Mirembe,matokeo yake ndio haya
 
Usiisingizie bangi
😄 wengine bangi wakipiga inawapelekesha+sasa akichanganya na pombe si balaa
Alafu hao watoto hapo,mzee wao alikuwa anakaa na mama yao ambaye ni wa kambo

Ova
 
Back
Top Bottom