To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
AiseeUkisikiliza habari yote inasema Huyo kijana ana miaka 23, ana tatizo la akili, alipata ajali ya bodaboda ikamuathiri ubongo. Na keshafanya vituko vingine kabla ya tukio hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeUkisikiliza habari yote inasema Huyo kijana ana miaka 23, ana tatizo la akili, alipata ajali ya bodaboda ikamuathiri ubongo. Na keshafanya vituko vingine kabla ya tukio hili.
ko tuache kuzaa mkuuGeneration zijazo ni hasara kwa taifa
Mibangi inaharibu brain 🧠Usiisingizie bangi
Hakuna ukweli wowote hapaMibangi inaharibu brain 🧠
Aliyekuwa Msajili wa Vyama vya Michezo wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Riziki Juma Majala ameuawa mapema akiwa ndani ya nyumba yake Kibaha kwa Mathias Wilayani Kibaha Mkoani Pwani huku Mtoto wake wa kwanza aitwaye Juma Majala akishikiliwa na Jeshi la Polisi kuhusiana na kifo hicho akidaiwa kuwa amemuua Baba yake kisa kutopewa pesa aliyomuomba Baba yake.Kwa hio dogo kamuua Mzee wake? Mboni story haijakamilika