Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Hatari sanaKizazi cha 2000 wakikosa hela ya pombe +bando basi shida tupu
Ova
Mabangi mapombe kutwa kusikiliza singeli amapianoHatari sana
Usiisingizie bangiMabangi mapombe kutwa kusikiliza singeli amapiano
Kijana anataka maisha mepesimepesi tu
Ova
😄 wengine bangi wakipiga inawapelekesha+sasa akichanganya na pombe si balaaUsiisingizie bangi
Akishaingia mama wa kambo mambo yanakuwa mengi😄 wengine bangi wakipiga inawapelekesha+sasa akichanganya na pombe si balaa
Alafu hao watoto hapo,mzee wao alikuwa anakaa na mama yao ambaye ni wa kambo
Ova
Mtoto anauwa mzazi lakini mzazi hauwi mtoto ni msemo maarufu kwa watu wa pwani!Aliyekuwa msajili wa Vyama vya michezo nchini Riziki Majala afariki .
Chanzo cha kifo inasemekana ni ugomvi kati yake na mwanae baada ya kukataa kumpa hela ukazuka ugomvi uliopelekea kifo .
View: https://youtu.be/4xBMR_awKvU?si=sUTxrLawupQ1s7y4