Aliyekuwa mshindi wa Maisha Plus, Abdul mbaroni kwa mauaji

Aliyekuwa mshindi wa Maisha Plus, Abdul mbaroni kwa mauaji

Namkumbuka abduli alivyopikaga wali na vitunguu kipindi anashiriki maisha plus

Mwenyezi mungu amuepushie mbali haya mabalaa dah
 
Kadri hali inavyozidi kuwa ngumu, ndivyo na roho za watu zinazidi kuwa ngumu zaidi[emoji848][emoji848]
 
Habari ni ya uongo amethibitisha Abdul mwenyew alipigiwa Simu na mbea wa mjini sudy katika session ya u heard.
 
Back
Top Bottom