Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Mtaalamu wa Viungo aliyewahi kuhudumu ndani ya timu ya Simba Adel Zrane amewasili nchini Rwanda tayari kwa kujiunga na Timu ya APR.
Huyu ndiyo kiumbe pekee ambaye alifanikiwa sana katika kipindi chake pale Msimbazi kuthibiti viungo vya wachezaji kiasi kwamba kikosi hakikuwa na majeruhi wengi.
Huyu ndiyo kiumbe pekee ambaye alifanikiwa sana katika kipindi chake pale Msimbazi kuthibiti viungo vya wachezaji kiasi kwamba kikosi hakikuwa na majeruhi wengi.