Pale malipo chenga, naweza kukubaliana na huyo jamaa, kuna yule mtangazi wa habari za kimataifa alifariki, mkewe kuhojiwa akadai Mzee alikuwa na stress, mshahara miezi hajapewa
Mtazame vizuri usoni na ngozi ,utagundua shidaAisee, D7 mwamba kaondoka? Maisha mafupi sana, nini kimesababisha kifo chake?
Alikuwa mwana sana, tumepiga nae mastori sana enzi za BBM, alitoaga option ya kutuma Voice kwa BBM account yake (2012).
Rest in Peace bro.
Yaani hata mimi huwa najiuliza sana Dah yule dada alikuwa na sauti flan nzuri kiukweliHivi yule mwanadada wa kuitwa Sharbano wa Kiss fm kipindi hichoo yuko wapi?
Pamoja na yote, sound ya kiss FM na RFA sio mchezo. Ni baba lao, Mono ya maana, sio michele michele (stereo) ya radio ya wafu na nyinginezo. Ile mono ya kiss fm ukiweka na jingle yao ile..dahYaani hata mimi huwa najiuliza sana Dah yule dada alikuwa na sauti flan nzuri kiukweli
Bado yupo Kiss FM ila kwa sasa yupo kwenye utawala ni Radio Manager/EditorYaani hata mimi huwa najiuliza sana Dah yule dada alikuwa na sauti flan nzuri kiukweli
Hivi unaelewa maana ya neno "stereo" mkuu?Pamoja na yote, sound ya kiss FM na RFA sio mchezo. Ni baba lao, Mono ya maana, sio michele michele (stereo) ya radio ya wafu na nyinginezo. Ile mono ya kiss fm ukiweka na jingle yao ile..dah
Hapo Jumamosi unasikiliza The Weekend Top 30 na Ryan Seacrest..unyama sana[emoji91][emoji95]
Ninajua tu ni ile makelele, sauti kutoka kwa njia mbili. Wenyewe wanaita mchicha. Au naelewa vibaya mkuu?Hivi unaelewa maana ya neno "stereo" mkuu?
Basi arudishwe kuwa mtangazaji, maana kwa sasa redio imekuwa mbaya mno. Asubuhi imekua na vipindi kama vya kina Mwijaku na kina Baba Levo.. yaani zile content kama za JK (John Karani) enzi za the Morning Kiss (Topic of the day) vimekufa kabisaBado yupo Kiss FM ila kwa sasa yupo kwenye utawala ni Radio Manager/Editor
Morning kiss kilikuwa kipindi kizur Sana asubuhi.. Morning kiiiiissssssssBasi arudishwe kuwa mtangazaji, maana kwa sasa redio imekuwa mbaya mno. Asubuhi imekua na vipindi kama vya kina Mwijaku na kina Baba Levo.. yaani zile content kama za JK (John Karani) enzi za the Morning Kiss (Topic of the day) vimekufa kabisa
Red Corner v Blue CornerMorning kiss kilikuwa kipindi kizur Sana asubuhi.. Morning kiiiiissssssss