econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Pale malipo chenga, naweza kukubaliana na huyo jamaa, kuna yule mtangazi wa habari za kimataifa alifariki, mkewe kuhojiwa akadai Mzee alikuwa na stress, mshahara miezi hajapewa
Samadu Hassan. Ila nashangaa Sana Samadu na ubora huo hata BBC hawakumuona.