Aliyekuwa muigizaji wa Isindigo maarufu kwa jina la Letti Matabhane Afariki

Aliyekuwa muigizaji wa Isindigo maarufu kwa jina la Letti Matabhane Afariki

Lesego Motsepe aliekuwa mwigizaji katika tamthiliya ya Isidingo amefariki ghafla leo saa tano asubuhi nyumbani kwao huko Afrika Kusini akiwa na umri wa miaka 40.Lesego aliyekuwa anaigiza kama Letti Matabane kwenye tamthiliya hiyo alijitangaza rasmi mwaka 2011 kuwa ni mwathirika wa HIV/AIDS.Akitangaza desemba ,2011 kuwa yeye ni mwathirika ,alisema aligundulika kuwa ni mwathirika na amekuwa akiishi na virusi hivo tokea akiwa na umri wa miaka 23 ambao ulikuwa ni mwaka 1997.R.I.P LETTI.UPHUMLE NGOXOLO SISI.


Yooooh!! At last... Ameteseka sana.

BOFYA.
“ISIDINGO The Need” Star, ‘LETTI MATABANE’ Reveals HIV STATUS ‘ Am HIV Positive And The VIRUS Has Been In My BLOOD For 13 Years’

Cape Town – South African actress Lesego Motsepe has decided to reveal that she is HIV positive on World Aids Day, reports Eye Witness News.

image.jpg
 
A statement released on behalf of Motsepe's family said she was found dead by her brother Moemise Motsepe at about 11am on Monday morning. The paramedics confirmed her death a few hours later.

In 2011, Motsepe publicly announced her HIV status on World AIDS Day in a bid to help fight the stigma around people living with the disease. She conducted several workshops and talks on the importance of living with hope when affected by AIDS directly or otherwise. She also worked as an AIDS ambassador for many years, educating children in different communities.
 
Oh mama Letti tutakumiss, Napenda alivyokuwa anasumbuana na Lerato
 
jamani letti matabane RIP sis! pole sana ma Agness, ingawa ktk isidingo alishakufa kitambo, ma agg mpk leo bado anamkumbuka dah!!
 
Pumzika wewe Letti Matabane...Mwanga wa milele uangaziwe wew ena upumzike kwa amani
 
picha mkuu , mungu ailaze roho ya Letti mahali pema. peponi AMEN
 
Apumzike kwa amani. Ametufunza kitu kuwa unaweza kuigiza ile hali uliyonayo haijalishi wewe ni maskini, tajiri, magonjwa ya muda mrefu.
 
Zirael kacharuka na mastaa mwezi huu, mnaojijua mastaa anzeni kugawa bank code number mapema
 
Isidingo wenyewe walishamchulia kwamba amekufa miaka mingi kumbe ndo kafa jana?.
 
Back
Top Bottom