humu JF kuna majukwaa mengi ulitaka celebrities forumFanya yako achana na mambo ya umbea, nchi inashida nyingi zinahitaji fikra siyo mambo ya kijinga ya watu
Umbea pia ni biashara!...cc.shilawaduFanya yako achana na mambo ya umbea, nchi inashida nyingi zinahitaji fikra siyo mambo ya kijinga ya watu
humu JF kuna majukwaa mengi ulitaka celebrities forum
tuanze kujadili kilimo cha matikiti ????????????
Haaa nipo.. na wewe upo kweli hii Id sijaiona kitambo. Hujanikosea wala kunikwaza mpenziUpo sijakuona kitambo sana, kwanza nashukuru umerudi tena japo kwa kunyapia nyapia
Kwanini tukwaruzane kwa hili, nisamehe sana kama nimekukwaza au vipi?
Mkuu kama hujapenda ungeenda jukwaa na viwonder lingekufaaKijana wa dar unakalia tu umbea afu unaenda kijiweni eti life ningumu eti anko magu kabana kote..kumbe mwenyew unajibaniya kufuatilia maisha yawatu
Sent using Jamii Forums mobile app
upo mdadahumu JF kuna majukwaa mengi ulitaka celebrities forum
tuanze kujadili kilimo cha matikiti ????????????
humu JF kuna majukwaa mengi ulitaka celebrities forum
tuanze kujadili kilimo cha matikiti ????????????
[emoji23] [emoji23] [emoji23]humu JF kuna majukwaa mengi ulitaka celebrities forum
tuanze kujadili kilimo cha matikiti ????????????
Weka picha yake